Mkuu usikute unahama kwa sababu ya ile kauli ya mwinguluHabari wakuu
Title inajieleza, nataka kuhamia Nairobi, kenya kwahivyo yeyote mwenye uzoefu na jiji hili anipe abc ikiwemo maisha yapoje, mtaa gani mzuri kuishi Kodi ya nyumba, biashara gani nzuri za kufanya ..
Karibuni
Madilu Kasema Waende Burundi 😆😅😄😃😂😁😀Mkuu usikute unahama kwa sababu ya ile kauli ya mwingulu
Labda mwamba ameamua kubadilisha location, badala ya Burundi akaamua ahamie KenyaMadilu Kasema Waende Burundi 😆😅😄😃😂😁😀
Nairobi kuna pesa but life is very expensive.Habari wakuu
Title inajieleza, nataka kuhamia Nairobi, kenya kwahivyo yeyote mwenye uzoefu na jiji hili anipe abc ikiwemo maisha yapoje, mtaa gani mzuri kuishi Kodi ya nyumba, biashara gani nzuri za kufanya ..
Karibuni
Lang’ata Estate ni sehemu poshNairobi kuna pesa but life is very expensive.
Chagua mitaa ya kuishi..