donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,042
- 21,517
Fursa zipo mkuu, wewe tu kujiongeza. Uzuri sisi wabongo hatukai kireeNatamani kwenda huku bondeni
Fursa zipo mkuu, wewe tu kujiongeza. Uzuri sisi wabongo hatukai kireeNatamani kwenda huku bondeni
Tutaona mipango mwisho wa mwaka uzima ukiwepoNi approximately dolali mia mbili KWA ndege dar to Gaborone, ikw kama unataka mabasi basi ni Yale ya zambia/malawi
Acheni makasirikio, hiyo professional ataitafutia uko hukoMkuu ukishindwa Tanzania kutoka kwa hustle, huko hauwezi unless uwe na professional.
ULIPOKUJA DAR ULITUALIKA??????UNGETUULIZA HATA BOSWA NA USINGEITAKAKilimo cha ufuta umejaribu kwanza?
Duh.Acheni makasirikio, hiyo professional ataitafutia uko huko