Wernery G Kapinga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 372
- 119
Wan jamvi heshima kwenu
Mimi sio mzoefu wa siasa ila kwa kadri Mambo yanavyoenda hapa katani ni hovyo kabisa. Kuna mzee wangu mmoja hivi kaniambia ili uweze kugombania kiti hicho lazima ukae KISIASASIASA. Hapa ndo panaponishinda.
Sasa naomba mnisaidie mawazo, kukaa KISIASA SIASA ni kuwa mwongo sana au mzungumzaji sana?
Gharama ya kuchukua fomu ya kugombea Udiwani gharama gani?
Huku kijijini hakuna chama pinzani. Tunachokijua sisi ni chama Cha NYERERE. Ukianza kuleta upinzani jamii karibu yote itakutenga.
Changamoto ya kata yetu ni nyingi mno. Diwani aliyekuwepo anakaa zake mjini tu huko yaani Dah
Hakuna mkutano wowote aliowahi kuja kufanya na wananchi wala kumshawishi hata Mbunge aje. Siku hizi namuona anapiga sana ruti za kuja katani na wananchi wameshamgundua kwamba kumekucha na anadhani hatujamuelewa.
Safari hii labda nikose hela za fomu.
Mimi sio mzoefu wa siasa ila kwa kadri Mambo yanavyoenda hapa katani ni hovyo kabisa. Kuna mzee wangu mmoja hivi kaniambia ili uweze kugombania kiti hicho lazima ukae KISIASASIASA. Hapa ndo panaponishinda.
Sasa naomba mnisaidie mawazo, kukaa KISIASA SIASA ni kuwa mwongo sana au mzungumzaji sana?
Gharama ya kuchukua fomu ya kugombea Udiwani gharama gani?
Huku kijijini hakuna chama pinzani. Tunachokijua sisi ni chama Cha NYERERE. Ukianza kuleta upinzani jamii karibu yote itakutenga.
Changamoto ya kata yetu ni nyingi mno. Diwani aliyekuwepo anakaa zake mjini tu huko yaani Dah
Hakuna mkutano wowote aliowahi kuja kufanya na wananchi wala kumshawishi hata Mbunge aje. Siku hizi namuona anapiga sana ruti za kuja katani na wananchi wameshamgundua kwamba kumekucha na anadhani hatujamuelewa.
Safari hii labda nikose hela za fomu.