Nataka kufungua kesi kupinga kodi ya jengo kupitia Luku lakini sioni wa kunitetea mahakamani

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
18,664
22,256
Haki yangu ya msingi naona imeporwa, nataka kufungua kesi dhidi ya malipo ya kodi ya jengo kupitia Luku ila shida iliyopo ni hao ninaowategemea wana maslahi na nafuu waliyoipata, wakili ananyumba anapangisha yeye mzigo wa kuilipia kodi wamemtua na hakimu naye nyumba yake anapangisha naye mzigo wamemtua

Ila sina uhakika hiyo nyumba ya serikali kama analipiwa umeme na serikali au analipa mwenyewe na kama analipa mwenyewe huenda anapewa posho ya umeme, sasa sijui nifanyeje niko njia panda naona kama sasa tumegawanywa kati ya walionacho na walalahoi.
 
Mods uzi huu uhamishieni kwenye jukwaa la siasa kwani mjadala na maamuzi yake ni ya kisiasa.
 
Watu wabaya watakutwaa mpaka kwenye malango ya mji nawe utateswa usiku na mchana hapo ndipo kutakuwa na vilio na kusaga meno naye iziraili akisha kuyaona hayo atapiga hodi kwako akiwa tayari kuitwaa roho yako na kukuachia mwili wako uwe chakula cha ndege.Na ndipo sauti itasikika ikiuliza je imempasa mtu huyu kupitia mapito haya
 
Jiandae tu usidhani utaendelea kufurahia maisha kama unavyoandika hapa.
Wapo waliojaribu kuwaza na kufanya kama wewe waulize, hawana hamu tena
 
Haki yangu ya msingi naona imeporwa, nataka kufungua kesi dhidi ya malipo ya kodi ya jengo kupitia Luku ila shida iliyopo ni hao ninaowategemea wana maslahi na nafuu waliyoipata, wakili ananyumba anapangisha yeye mzigo wa kuilipia kodi wamemtua na hakimu naye nyumba yake anapangisha naye mzigo wamemtua

Ila sina uhakika hiyo nyumba ya serikali kama analipiwa umeme na serikali au analipa mwenyewe na kama analipa mwenyewe huenda anapewa posho ya umeme, sasa sijui nifanyeje niko njia panda naona kama sasa tumegawanywa kati ya walionacho na walalahoi.
Hawashindwi kukwambia ukafungulie kesi yako Bujumbura hawa madhalimu hawa
 
Haki yangu ya msingi naona imeporwa, nataka kufungua kesi dhidi ya malipo ya kodi ya jengo kupitia Luku ila shida iliyopo ni hao ninaowategemea wana maslahi na nafuu waliyoipata, wakili ananyumba anapangisha yeye mzigo wa kuilipia kodi wamemtua na hakimu naye nyumba yake anapangisha naye mzigo wamemtua

Ila sina uhakika hiyo nyumba ya serikali kama analipiwa umeme na serikali au analipa mwenyewe na kama analipa mwenyewe huenda anapewa posho ya umeme, sasa sijui nifanyeje niko njia panda naona kama sasa tumegawanywa kati ya walionacho na walalahoi.
"Ninaona unaitwa migration ukathibitishe Kama sio Raia wa Burundi"
 
Nashangaa wapangaji wanaolalamikia Kodi ya pango!

Suluhisho Ni kukaa na mwenye nyumba na kujadili upya mkataba. Kwamba elfu kumi na mbili itakuwa sehemu ya malipo ya pango.
 
Haki yangu ya msingi naona imeporwa, nataka kufungua kesi dhidi ya malipo ya kodi ya jengo kupitia Luku ila shida iliyopo ni hao ninaowategemea wana maslahi na nafuu waliyoipata, wakili ananyumba anapangisha yeye mzigo wa kuilipia kodi wamemtua na hakimu naye nyumba yake anapangisha naye mzigo wamemtua

Ila sina uhakika hiyo nyumba ya serikali kama analipiwa umeme na serikali au analipa mwenyewe na kama analipa mwenyewe huenda anapewa posho ya umeme, sasa sijui nifanyeje niko njia panda naona kama sasa tumegawanywa kati ya walionacho na walalahoi.
Tafuta hela ujenge wewe!!
 
Wataniungaje mkono wakati wao wanafaidika na kulipiwa majengo yao?
Mbona yule aliyefungua kesi kupinga tozo za miamala watu wananchangia huko Facebook pesa ya wakili? Ila ameitwa uhamiaji huko wana Shaka na uraia wake
 
Mbona yule aliyefungua kesi kupinga tozo za miamala watu wananchangia huko Facebook pesa ya wakili? Ila ameitwa uhamiaji huko wana Shaka na uraia wake
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Kwangu tatizo siyo pesa ila tatizo kuanzia wakili wangu mpaka hakimu wote ni wanufaika wa kulipiwa kodi ya jengo, hawa wataungana ili nishindwe kesi wao waendelee kunufaika kwa kulipiwa majengo yao na wapangaji wao, niko njiapanda.
Mbona yule aliyefungua kesi kupinga tozo za miamala watu wananchangia huko Facebook pesa ya wakili? Ila ameitwa uhamiaji huko wana Shaka na uraia wake
 
Haki yangu ya msingi naona imeporwa, nataka kufungua kesi dhidi ya malipo ya kodi ya jengo kupitia Luku ila shida iliyopo ni hao ninaowategemea wana maslahi na nafuu waliyoipata, wakili ananyumba anapangisha yeye mzigo wa kuilipia kodi wamemtua na hakimu naye nyumba yake anapangisha naye mzigo wamemtua

Ila sina uhakika hiyo nyumba ya serikali kama analipiwa umeme na serikali au analipa mwenyewe na kama analipa mwenyewe huenda anapewa posho ya umeme, sasa sijui nifanyeje niko njia panda naona kama sasa tumegawanywa kati ya walionacho na walalahoi.
wewe si ndiye unafungua kesi sasa unataka utetewe tena
 
Back
Top Bottom