Nataka kufungua Kampuni ya matangazo naombeni ushauri vitu vya kuzingatia ili kutengeneza jina

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Ndugu zangu nataka kufungua Kampuni ya matangazo ambayo itakuwa inahusiana kutangaza biashara za watu na makampuni tofauti tofauti.

Hivyo naombeni ushauri ni vitu gani vya kuzingatia lakini pia jinsi gani ya kuanza ili kutengeneza jina ili nipate watu wengi ambao watatangaza kupitia mimi.

Ushauri wenu ndugu.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom