Ushirombo
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 3,557
- 2,692
Wakuu ili kuisadia serikali yetu na polisi pia nimeamua nifungue kampuni ambayo nitaajiri ma inspectors wa motor vehicle,kifupi watareplace hawa matrafic polisi,wao waende kwenye majukumu mengine,nitahakikisha magari yote yanayo yanailipa serikali,pia tutakua tayar kufanya kazi hata usiku.