mganga wa roho
Member
- Jul 1, 2014
- 51
- 19
Wakuu habari za muda, nina mtaji wangu wa 3m nataka kufungua biashara ya duka la nguo za kiume, yoyote mwenye uzoefu na biashara hii tafadhali naomba msaada na changamoto zipi nitapitia.
Nawasilisha.
Nawasilisha.