Nataka kufuga samaki naomba msaada kwa yafuatayo

Mung Chris

JF-Expert Member
Sep 12, 2017
3,367
3,778
Wana JF

Nataka nifuge samaki ila naomba msaada kwa yafuatayo
1. Naomba mnijuze kuhusu usalama wa hao samaki maana kwenye kiwanja changu sina fence
2. Nawezaje kuwalinda ili sumu isiwekwe ndani ya bwawa kuwaua samaki wote
3. Nawezaje kuepukana na wizi wa samaki hao nyakati za usiku

Naoba ushauri.
 
Kujenga uzio/fence ni muhimu
Huzuia predators wasiweze kula samaki pili usaidia kuzuia wizi wa rejareja katika mabwawa yako kwaio ni muhimu sana ikiwezekana unaweza kuweka ata nyavu kwa ajili kuvunika hao samaki wasiweze kuliwa na predators kama ndege ambao watatua moja kwa moja kwenye bwawa.Hakika ukifanya hivo ni vigumu samaki kuwekewa sumu kwa sababu kuna uzio.je unataka kufuga samaki una taaluma ya ufugaji au mtaalamu wa ufugaji
 
Wana JF

Nataka nifuge samaki ila naomba msaada kwa yafuatayo
1. Naomba mnijuze kuhusu usalama wa hao samaki maana kwenye kiwanja changu sina fence
2. Nawezaje kuwalinda ili sumu isiwekwe ndani ya bwawa kuwaua samaki wote
3. Nawezaje kuepukana na wizi wa samaki hao nyakati za usiku

Naoba ushauri.

Fuga Mbwa Wakali
 
Wana JF

Nataka nifuge samaki ila naomba msaada kwa yafuatayo
1. Naomba mnijuze kuhusu usalama wa hao samaki maana kwenye kiwanja changu sina fence
2. Nawezaje kuwalinda ili sumu isiwekwe ndani ya bwawa kuwaua samaki wote
3. Nawezaje kuepukana na wizi wa samaki hao nyakati za usiku

Naoba ushauri.

Mkuu, mambo ni mengi kuliko hayo, hayo ni madogo sana kwenye ufugaji wa samaki. Maana unaweza piga fence kama ya Ukonga na samaki wasifikie viwango. Yapo mambo ya msingi zaidi.
 
Mkuu, mambo ni mengi kuliko hayo, hayo ni madogo sana kwenye ufugaji wa samaki. Maana unaweza piga fence kama ya Ukonga na samaki wasifikie viwango. Yapo mambo ya msingi zaidi.
kama yapi
 
Kujenga uzio/fence ni muhimu
Huzuia predators wasiweze kula samaki pili usaidia kuzuia wizi wa rejareja katika mabwawa yako kwaio ni muhimu sana ikiwezekana unaweza kuweka ata nyavu kwa ajili kuvunika hao samaki wasiweze kuliwa na predators kama ndege ambao watatua moja kwa moja kwenye bwawa.Hakika ukifanya hivo ni vigumu samaki kuwekewa sumu kwa sababu kuna uzio.je unataka kufuga samaki una taaluma ya ufugaji au mtaalamu wa ufugaji
Nikipata majibu ya haya ndio nitaenda kujifunza ili nianze
 
Nikipata majibu ya haya ndio nitaenda kujifunza ili nianze
Ni vizuri kupata semina ya ufugaji kabla au uonane na wataalamu ili uweze kufahamu changamoto zilizopo maana unaweza kufuga samaki kwenye uzio/bila uzio lakini wakashindwa kukidhi kiwango kinachotakiwa kwenye soko ikakupelekea kupata hasara.
Je unataka kufuga samaki kwa aina gani ya ufugaji ?
Intensive fish culture system ambayo inahitaji high capital
Semi intensive fish culture system ambayo inahitaji semi capital
Extensive fish culture system ambayo inahitaji low capital
 
Umepima udongo wako, au utatumia liner/tank? Umepima maji( water source) au utavuna ya mvua? Je kuna seapage?
Ndomana mi pia nikamshauri kuonana na wataalamu au kuchukua mafunzo mafupi ya ufugaji wa samaki ambayo yatampa mwanga aanze na kipi afate kipi,maana uzio hauna faida sana endapo yeye hana uelewa wowote wa ufugaji wa samaki.
 
Ni vizuri kupata semina ya ufugaji kabla au uonane na wataalamu ili uweze kufahamu changamoto zilizopo maana unaweza kufuga samaki kwenye uzio/bila uzio lakini wakashindwa kukidhi kiwango kinachotakiwa kwenye soko ikakupelekea kupata hasara.
Je unataka kufuga samaki kwa aina gani ya ufugaji ?
Intensive fish culture system ambayo inahitaji high capital
Semi intensive fish culture system ambayo inahitaji semi capital
Extensive fish culture system ambayo inahitaji low capital
unanipoteza nataka nifuge sato, samaki wa ziwa tanganyika, samaki wa ziwa nyasa, samaki wa nyumba ya mungu na samaki wa ziwa victoria.
 
Ndomana mi pia nikamshauri kuonana na wataalamu au kuchukua mafunzo mafupi ya ufugaji wa samaki ambayo yatampa mwanga aanze na kipi afate kipi,maana uzio hauna faida sana endapo yeye hana uelewa wowote wa ufugaji wa samaki.
Asante kwa kumkumbusha hilo la tuition
 
Ufugaji wa Nile tilapia(sato) na African catfish ni rahisi in tropical and subtropical regions of the world endapo watafugwa katika Semi intensive na Extensive kwa sababu wana rapid growth rates,resistance to disease, high tolerance to low water quality, efficient feed conversion,ease spawning for Nile tilapia, good meat taste
 
Ulifanikiwa na mpango huu au uliachana nao?


Mkuu, Kwa mrejesho itapendeza hapo na sisi tupate cha kujifunza.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom