Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Wana JF
Nataka nifuge samaki ila naomba msaada kwa yafuatayo
1. Naomba mnijuze kuhusu usalama wa hao samaki maana kwenye kiwanja changu sina fence
2. Nawezaje kuwalinda ili sumu isiwekwe ndani ya bwawa kuwaua samaki wote
3. Nawezaje kuepukana na wizi wa samaki hao nyakati za usiku
Naoba ushauri.
Nataka nifuge samaki ila naomba msaada kwa yafuatayo
1. Naomba mnijuze kuhusu usalama wa hao samaki maana kwenye kiwanja changu sina fence
2. Nawezaje kuwalinda ili sumu isiwekwe ndani ya bwawa kuwaua samaki wote
3. Nawezaje kuepukana na wizi wa samaki hao nyakati za usiku
Naoba ushauri.