Asante kwa ushauri, banda linaweza gharimu kiasi ganinyama mkuu utauza sana c unajua dar tunapendaga broiler
kwa hapo mi hata sijui bro inagharimu bei ganiAsante kwa ushauri, banda linaweza gharimu kiasi gani
Sio sawa, kuna watu wamewekeza kwenye ufugaji wa kuku na wanaendesha maisha yao huko bila stress wala nini.Epuka Biashara wanazoweza kufanya wastaafu Na wenye Msongo wa Mawazo Kwa Afya yako
vifaranga ntapata wa kuku mayaiCheck na
Arusha kuku farm
Simu 0715064992/0718969610
Utashaurika vema sana
tafuta vifaranga wa nyama wa wiki mbili mpaka tatu ukianza nao mpaka msimu wa sikuku unakuja utakula ela mkuuNaomba ushauri wenu, kuku gani ni wa faida kwa dar, banda linaweza kunigharimu kiasi gani, nianze na kuku kiasi gani, kuku wa kampuni gani ni bora zaidi.
Nawasilisha
Kuwa tajiri kwa mtaji wa laki 3 tu kupitia ufugaji wa kuku wa kienyeji - JamiiForumsNaomba ushauri wenu, kuku gani ni wa faida kwa dar, banda linaweza kunigharimu kiasi gani, nianze na kuku kiasi gani, kuku wa kampuni gani ni bora zaidi.
Nawasilisha
Mawazo mgando haya!!Epuka Biashara wanazoweza kufanya wastaafu Na wenye Msongo wa Mawazo Kwa Afya yako
Ukianza na kuku laki moja si mbaya.Naomba ushauri wenu, kuku gani ni wa faida kwa dar, banda linaweza kunigharimu kiasi gani, nianze na kuku kiasi gani, kuku wa kampuni gani ni bora zaidi.
Nawasilisha
Ukianza na kuku laki moja si mbaya.