Ushauri kuhusu biashara ya kuuza vinywaji vya aina zote (Vikali na vya kawaida)

Yan hapo ndo penyewe...ukishndwa hapo n mtihan

Nnapofanyia biashara kuna maduka mawili ya jumla...ila mmoja anauza kuliko mwenzie n kwa huduma ya delivry

Ujue wafanyabiashara hua hawajisikii vizuri kuacha biashara na kufuata mzigo...so wanachofanya ni kuagiza huku hela zingne znaingia...!!

Ajiri vijana...wape kazi...watengenezee usafirishaj kama mikokoten miwili na baiskeli kwa oda ndogo ndogo...!!kisha wape uhuru kuwa hela ya delivery watajuana wao na mteja...!!

Key ya kufanikiwa kibiashara ni understanding tuu...biashara co bidhaa...biashara ni mtu/muuzaji
ahsante boss, delivery is key.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
waoh, ahsante boss, yani hapo nimeelewa kuwa na ukaribu na wateja na kuwatafutia njia ya wao kuona urahisi kukuchangia.
Yan hapo ndo penyewe...ukishndwa hapo n mtihan

Nnapofanyia biashara kuna maduka mawili ya jumla...ila mmoja anauza kuliko mwenzie n kwa huduma ya delivry

Ujue wafanyabiashara hua hawajisikii vizuri kuacha biashara na kufuata mzigo...so wanachofanya ni kuagiza huku hela zingne znaingia...!!

Ajiri vijana...wape kazi...watengenezee usafirishaj kama mikokoten miwili na baiskeli kwa oda ndogo ndogo...!!kisha wape uhuru kuwa hela ya delivery watajuana wao na mteja...!!

Key ya kufanikiwa kibiashara ni understanding tuu...biashara co bidhaa...biashara ni mtu/muuzaji

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nafikiri itanibidi napotaka kufungua hii buzy, natakiwa kufika angalau na vipeperushi kwa maduka tofauti na pia kuwaambia kuwa tunawafikishia bidhaa sio lazima wao waje dukani kwangu.
Yan hapo ndo penyewe...ukishndwa hapo n mtihan

Nnapofanyia biashara kuna maduka mawili ya jumla...ila mmoja anauza kuliko mwenzie n kwa huduma ya delivry

Ujue wafanyabiashara hua hawajisikii vizuri kuacha biashara na kufuata mzigo...so wanachofanya ni kuagiza huku hela zingne znaingia...!!

Ajiri vijana...wape kazi...watengenezee usafirishaj kama mikokoten miwili na baiskeli kwa oda ndogo ndogo...!!kisha wape uhuru kuwa hela ya delivery watajuana wao na mteja...!!

Key ya kufanikiwa kibiashara ni understanding tuu...biashara co bidhaa...biashara ni mtu/muuzaji

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa upande wa cocacola utakuwa unanunua kwa msambazaji mkuu wa eneo husika na wana bei elekezi ya wewe kununua na kuuza.

Tafuta eneo changanyikeni lenye maduka mengi ya rejareja ufurahie biashara yako.
 
ahsante mkuu, kwa kunielekeza kuwa Coca Cola unatakiwa kununua kwa wakala mkuu.

Je vp kuhusu Azam, ununuzi wake uko vp?
Kwa upande wa cocacola utakuwa unanunua kwa msambazaji mkuu wa eneo husika na wana bei elekezi ya wewe kununua na kuuza.

Tafuta eneo changanyikeni lenye maduka mengi ya rejareja ufurahie biashara yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza lazima nijue unamtaji kiasi gani, pili biashara ya makreti itakusumbua kama mtaji wako nimdogo kwani kreti 100 huwezi kua agent Bali utanunua kwama agent na faida itakua ndogo. Ila ushauri wangu deal na box tu kama mtaji nimdogo.

Naomba tushauri hapa, kuwa agent inatakiwa kununua crate kuanzia ngapi?
 
Dah, yaani nimepitia uzi wote na nilichoona kinasikitisha. Yaani watu tunaishia kukatishana tamaa tu kisa profit margin ya product moja ni ndogo.

Hakuna biashara ambayo ilishakuwa rahisi, so mtoa maada kama umeamua toka ndani ya moyo wako usiache mtu akukatishe tamàa, pambana na kama changamoto kila sehemu zipo.

All the best amigos.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu.

Naombeni msaada kama kuna mjuzi yoyote anaifahamu biashara ya vinywaji (soft drinks) kama vile soda, maji juice za chupa kwa uuzaji wa jumla.

Iwapo nahitaji kuwa wakala wa makampuni yanayozalisha ni vigezo gani vinavyohitajika?

Asanteni sana.
 
Habari zenu wapwa.

Nahitaji msaada wakufahamu napataje connection ya magari yanayo suply vinywaji kwenye maduka nakaribia kuanza biashara ya duka la vinywaji kwa jumla. Nishafanya research ya vitu vingine hapa ndipo nilipokwamia kwa mfano maji, soda juice nk.

Asanteni
 
Wakuu nataka kufanya biashara ya vinywaji na kuuza jumla nina mtaji mdogo siwezi kuwa distributor kwa kufuata bidhaa kiwandani hivyo natafuta muuzaji wa kuniuzia jumla na mimi niweze kuuza jumla kwa mkoa wa Dar es salaam.

Au kama kuna mtu anafahamu sehemu au namna ya kununua kwa jumla kreti ishirini za vinywaji vya Cocacola na ishirini za vinywaji vya Pepsi.

Duka litakua na vinywaji vingine kama maji na nk
1622554641439.png

 
Wakuu hawataki kutoa mchango kabisa namna ya kununua maji kwa jumla, soda kwa jumla, juice kwa jumla.
 
Kuuza kwa jumla faida unajua ni shiling ngapi kwa carton /creti?

Ili uuze jumla upate faida ya kiwezesha kulipa pango ni vizuri uwe na mtaji mkubwa unaokuwezesha kununua kwenye yale magari yao siyo kwa mtu mwingine
 
Back
Top Bottom