Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,531
- 8,616
Ganesh,
Huoni kwamba Tanzania inakuwa kama ya kisultani sasa? Nasikia wengine wanamuandaa mtoto wa Mwinyi kuwa rais Zanzibar, huyu rais wa sasa wa Zanzibar ni mtoto wa rais wa zamani wa Zanzibar, kweli hakuna wengine wenye uwezo? Au ni usultani tu?
Rais Nyerere mmoja anatosha. Ingawa una haki kikatiba, kung'ang'ania rais lazima awe Nyerere ni kama kutukana watu wengine hawana uwezo.
ukweli ni kuwa watoto wa nyerere tunawapongeza..kwa kutotumia madaraka ya mzee vibaya..hata mama hilo ni jambo la kupongeza!!!...
ambao hamjamuelewa Garnesh...hapa anachochea mada tu...HAPO JUU MKIMSOMA VEMA AMESEMA WAZI KUWA INTEREST YAO...ni kila mtu afanye juhudi kufanya tanzania iwe sehemu nzuri[literally]...its like alivosema kenedy ...dont ask what america can do for you ..ask what you can do for america....ameweka wazi kuwa sio lengo lau kugombea ....zaidi ya kuchochea maendeleo ..
Nataka pia kwa hili tuelewe kuwa hata siku ikitokea katika kizazi cha mwalimu ...iwe mjukuu au kitukuu amekuwa rais nchi hii[kumbukeni hili linaweza kuja kutokea ]...itakuwa ni kwa uwezo wake mwenyewe....na wala si kubebwa...tofauti na sasa hao mliotaja wote wamebebwa na baba zao.....karume alipomaliza form six ....temporary employment aliyoifanya ni kuwa KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA....waziri akiwa baba yake...
HUSSEIN mwinyi....pia amesaidiwa sana na influence ya BABA yake ni vema sasa akasimama mwenyewe kama HUSSEIN.....ili hata siku akifanikiwa mafanikio yake yasiusishwe na kubebwa....
Mliona hata kenya KENYETTA UHURU alibebwa na MOI.kama shukrani kwa mzee wake kwa kumpa urais na kuwaacha wakikuyu.....Lakini wananchi wakamkataa ...wakamuambia kama aanataka urais ajipange agombee kwa uwezo wake...na for sure he will become president next time maana sasa anasimama mwenyewe.....