nasrimgambo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,858
- 2,348
kwa nini kuwepo na walakini?Kuna walakini hapa!
♀️ ♀️ ♀️ ♀️ ♀️ ♀️ ♀️ ♀️ ♀️ ♀️ ♀️ ♀️ ♀️
kwa nini kuwepo na walakini?Kuna walakini hapa!
♀️ ♀️ ♀️ ♀️ ♀️ ♀️ ♀️ ♀️ ♀️ ♀️ ♀️ ♀️ ♀️
kwanza kabisa mtazamo wako ni hasi sana, hakuna msaada huo unaoweza kuwapa maana uwaonavyo ndivyo walivyo hawawezi kubadilika, na unaposema taifa litakuwa limeondokewa na kizazi chao unamaanisha nini!! ilhali wao huzaliwa na straight peopleUkiwasaidia wakapona utakuwa umewapoteza kabisa.
yaank dunia au taifa linakuwa limepotelewa na kizazi shoga.
mkuu mbona kiswahili cha kawaida tu mkuu.
una mawazo ya kihitler hitlerUkiwasaidia wakapona utakuwa umewapoteza kabisa.
yaank dunia au taifa linakuwa limepotelewa na kizazi shoga.
mkuu mbona kiswahili cha kawaida tu mkuu.
mkuu kwani hawa jamaa ni wadau wa antipas? mimi najua huyu mpambanaji lzm anipige tafu kwenye hizi haraksti. ukizingstia sasa hivi hana majukumu sana maana ubunge kaishakwapuliwa akiwa kitanda cha mauti.Unataka kukosana na Tundu Lissu?
Wengi waliosaidiwa wameishia kujiua, kwa njia hii unaweza kupunguza idadi yao, ila sio kwa kuwabadili fikra na mienendo yao.wakorofi sana huko ulaya. wanalindwa kama faru joni huku bongo.
Nakumbuka hata man Pacquiao aliwahi kunyimwa huduma Suoermarket kisa tu alipinga mashoga.
Sasa Unadhani kama udhaifu unakingiwa kifua duniani nzima kazi hii ni ndogo?
Kwanza ni vizuri washawishiwe kujua hili ni ili kuwasaidia iwe rahisi.
We utakuwa mmoja wao tasisi ikianza uje upewe hudumahawakuchagua kuwa mashoga wala wasagaji, ni jinsi walivyo, na wala sio tatizo la akili ni identity na romantic attraction tu ziko tofaut na watu wengine,
walikuwepo wapo na wataendelea kuwepo, tuache kuwabagua na wao wajikubali walivyo maisha yaendelee
hitler muuaji mimi natumia saikolojia tu. maana wale shida yao ni akili na mindset sio dnauna mawazo ya kihitler hitler
Ni ngumu ila inawezekana. Kufanya utafiti wa kutosha kuonyesha kuwa hilo ni gonjwa hatari. Ni ugonjwa wa akili ambao hawataki kuukubali.nakwambia dunia nzima inaweza kuhamia geto kwangu kunishughulikia hata kama siwaui.
ntajaribu. Tatizo mafadhili mengi ni hayohayo majamaa.
Hii kazi ni Ngumu ngoja niendelee kukusanya maoni
Siyo kuwa nawapaisha nope, ndiyo ukweli wenyewe, Trump anaweza kuwa na maamuzi magumu ya kuishambulia Iran kijeshi lakini hana ujasiri hata robo ya ku type kwenye twitter tu kupiga marufuku Ushoga Marekani..... Hatachukua a second hajan'golewa pale nyumba nyeupe....acha kuwapaisha machoko una ushahidi?
kwa hiyo mkuu dunia iko mikononi mwa hawa mabwana.Siyo kuwa nawapaisha nope, ndiyo ukweli wenyewe, Trump anaweza kuwa na maamuzi magumu ya kuishambulia Iran kijeshi lakini hana ujasiri hata robo ya ku type kwenye twitter tu kupiga marufuku Ushoga Marekani..... Hatachukua a second hajan'golewa pale nyumba nyeupe....
mkuu hawa mabwana ni vichwa sugu kiasi hicho.Wengi waliosaidiwa wameishia kujiua, kwa njia hii unaweza kupunguza idadi yao, ila sio kwa kuwabadili fikra na mienendo yao.
mkuu ntakutafuta.Nitajitolea kutoa ushauri nasaha. Naomba hiyo nafasi. (Free of charge)
kakeambia nani kuwa ushoga ni tatizo la kisaikolojia?? wale hawana tatizo la kisaikolojia ila kuwabagua ndio kunawapelekea wawe na matatizo ya kisaikolojiahitler muuaji mimi natumia saikolojia tu. maana wale shida yao ni akili na mindset sio dna
madawa ya kulevya inatokana na substance abuse, matumizi ya kemikali, sasa ushoga sio kitu kinachotakana na substance abuse, ni natural feelings tu ambazo wanazomkuu hawa mabwana ni vichwa sugu kiasi hicho.
Mbona watu wanaacha madawa ya kulevya, hii kitu inasumu gani kali hivyo mkuu
ndio tatizo la watu waliokosa uelewa mtu akifafanua jambo toka mlengo wa uelewa mnakimbilia kufanya personal attacks, unaposema "wewe utakuwa mmoja wapo" unaexpect kwamba mtu asiyekuwa shoga hawezi kuja kuelewa kuwa mashoga wapo walivyo kwasababu wako hivyo na kwamba hawana kasoro ila tu wako tofauti, unafanya personal attacks ili watu wenye mtazamo kama wangu tusiongee, mnataka uzi kama huu ukiwekwa komenti zote ziwe za kusigina na kukandamiza watu walio tofauti na wengine, halafu mnataka muitwe great thinkers, great thinkers gani wasioruhusu watu wenye mtazamo tofauti wawaambie ukweli tofauti wawaujuwao waoWe utakuwa mmoja wao tasisi ikianza uje upewe huduma
kwa kifupi hawa watu hawatakiwi katika jamiindio tatizo la watu waliokosa ueleea mtu akifafanua jambo toka mlengo wa uelewa mnakimbilia kufanya personal attacks
uuaji unaanza na kuona wengine hawafai uwepo wao, ndipo alipoanzia hitler kwa kuona binadamu fulani fulani hawafai uwepo wao, na wewe ndio ushaanza unaona binadamu fulani fulani hawafai uwepo wao, ndipo wabaguzi wa rangi walipoanzia huko south africa na marekani kuona watu fulani fulani hawafai uwepo wao.hitler muuaji mimi natumia saikolojia tu. maana wale shida yao ni akili na mindset sio dna