matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,571
- 15,320
- Thread starter
- #21
hakuna anayemuua shoga mkuu acha uzushi.Ni maajabu mwanadamu mwenye akili timamu anapanga kuua wanadamu wenzie!
Cha ajabu zaidi mtoto wako mwenyewe wa kuzaa ni shoga,utamuua?
Cha ajabu zaidi na zaidi huyu Bwana Matunduizi ni mwana CCM kindakindaki!
Nimkute shoga anafanya chochote napita kama simuoni,mwili ni wake haunihusu!As long as they keep their agenda away from my kids!
Siwezi ua mwanadamu yeyote kwa kosa lolote!
kwa nini umuue kiumbe wa Mungu.
Wanaopinga ushoga kwa kuwaua nao sio wanadamu wanatakiwa kuanzishiwa asasi yao nao wasaidiwe.
Hapa namaanisha njia ya amani ya kuwafanya mashoga wawe wanaume halisi.
Naamininhakuna aliyezaliwa shoga au aliyezaliwa mzinzi.
kama zipo taasisi za kuupigia chepuo.
taasisi za kuwalinda ili waendelee kustawi.
sio mbaya ikiwepo ya kuwarudisha katika hali yao ya ubinadamu wa asili kww njia ya amani