mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,064
- 6,733
Ahsante mkuu, na mimi mwakani nitapanda. Tatizo la kilimo cha Tz unaweza kuta baada ya miaka 5 bei ikaporomoka sana.Usipige mahesabu hayo piga hivi mwaka jana kilo ilifika 3900 na korosho wauza kwa kilo, gunia moja ni sawa na kilo mia sasa itategemea kwenye hiyo miti 25 au 30 utapata kilo ngapi, mfano miti yote ya korosho hiyo 30 au 35 umepata kilo elfu tano mia tano
1kilo=3900tsh
5500kilo=×?
21,450000tsh hiyo kwa bei ya mwaka jana so mwaka huu hatujui if itapanda au laa kama itapanda itazidi kua neema kwa wakulima wa korosho. Na huo ni mfano tu kama utapata hizo kilo au kwa magunia itakua hv
1gunia=390000tsh
20gunia=?
7, 80000tsh
Ni hivyo tu nadhani kaka lumumba akija atatoa ufafanunuzi vzr. Shukran sn