laii
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 834
- 1,060
Habari wanajamvi mimi ni mkazi wa hapa Dar Es Salaam, sina taaluma ya insuarance.
Nimefikiria biashara ya kufungua hapa Dar Es Salaam nikaona biashara ya insuarance za magari itanilipa,iwe broker au Agency.
Naomba mtu mwenye ujuzi kuhusu hii biashara anielekeze,kwanza tofauti ya insuarance broker na Agencya ,pili vitu vya kufuata (procedures) ili kufungua ofisi,Mtaji wa kila kimoja wapo, kuanzia registration mpaka kuanza biashara.
Nawasilisha,
Pm ruksaa
Nimefikiria biashara ya kufungua hapa Dar Es Salaam nikaona biashara ya insuarance za magari itanilipa,iwe broker au Agency.
Naomba mtu mwenye ujuzi kuhusu hii biashara anielekeze,kwanza tofauti ya insuarance broker na Agencya ,pili vitu vya kufuata (procedures) ili kufungua ofisi,Mtaji wa kila kimoja wapo, kuanzia registration mpaka kuanza biashara.
Nawasilisha,
Pm ruksaa