D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,160
- 3,259
Hongera Tanzania ya viwanda
Mkuu vp kuhusu soko umekwisha andaa?? Kama vp tuunganehihi kitu ikiwezekana itapendeza sans
Tabu naiona kwa kina tfda tu, vifungashio vimejaa china ingia alibaba vinauzwa 0.3- 06 usd kutegemea na ujazo. Unaweza agiza vya mil 2 yakaja makopo kibao tena yakiwa peinted na labeled sawa na utakavyoSoko halina shida ingawa sijafanya feasibility study kwan nawaza kuanza na wachona chips,uli kujitangaza nitawakopesha ili waijalibu nakuona itakubalikaje kwa wateja,
Bonge la point... pata pespi baridi na maji kubwa popote ulipo...Tabu naiona kwa kina tfda tu, vifungashio vimejaa china ingia alibaba vinauzwa 0.3- 06 usd kutegemea na ujazo. Unaweza agiza vya mil 2 yakaja makopo kibao tena yakiwa peinted na labeled sawa na utakavyo
Tuungane sasa tupige kaz mkuuSoko halina shida ingawa sijafanya feasibility study kwan nawaza kuanza na wachona chips,uli kujitangaza nitawakopesha ili waijalibu nakuona itakubalikaje kwa wateja,
Dsm-Banana hukukwan uko wap mkuu
Sehemu gan mkuu mwenyej sana huko ndio homemi niko mwanza mkuu
TFDA INAKUHUSUmwenye idea na biashala hii anijuze,kwan nataka kuanzisha kiwanda kidogo kitakacho zalisha lita 50-100 kwa siku.Ilia sijui pa kuanzia
vifaa,mtaji,mahitaji na upatikanaji wa mashine pia vifungashio
Poa komaawe unapajua wap? uenyeji wako utanisaidia nn mimi? kwanza sihitaji share kabisa hii itapunguza migogoro ya kiutendaji na kimaslahi pia, niache kwanza
Shenzi type waliofanikiwa wengi hawana hii mentality ni ya kimaskini sanaa... Mfano Diamond mwenyewe angekua anawaza hivi ungekuta bado yuko mbagala. Mtu akiwa interest mskilizie kama mnaendana.. na keep proper record kama mko partners mnakua full transparent mtafanikiwa sanaa huu msuli wa kukomaa mwenyewe... . kua na partner mnaendana kitabia na mnaenda kwa makubaliano mwanzo mwisho.we unapajua wap? uenyeji wako utanisaidia nn mimi? kwanza sihitaji share kabisa hii itapunguza migogoro ya kiutendaji na kimaslahi pia, niache kwanza
Usitarajie afanikiwe ndipo alete mrejesho aiseeeee......Ukifanikiwa leta mlejesho
poa nitatoa mrejesho
Ungemuuliza Prof. Muhongo angekupa ushauri mzuri maana yeye anao uzoefu na hivi viwanda vya tomato,juice nk.mwenye idea na biashala hii anijuze,kwan nataka kuanzisha kiwanda kidogo kitakacho zalisha lita 50-100 kwa siku.Ilia sijui pa kuanzia
vifaa,mtaji,mahitaji na upatikanaji wa mashine pia vifungashio