B Bina tony New Member Apr 6, 2020 2 1 Apr 6, 2020 #1 Nataka kuanzisha duka la vyombo, nipo DSM, isue naitaji kujua wapi naweza kupata bidhaa hizo na mtaji wa kuanzia unafaa shilingi ngapi?
Nataka kuanzisha duka la vyombo, nipo DSM, isue naitaji kujua wapi naweza kupata bidhaa hizo na mtaji wa kuanzia unafaa shilingi ngapi?
mng'ato JF-Expert Member Oct 27, 2014 29,204 48,983 Apr 6, 2020 #2 Kuna uzi humu JF unaelezea machimbo ya wafanyabiashara huko kariakoo,u-search uulize wadau humo watakupa majibu boss.
Kuna uzi humu JF unaelezea machimbo ya wafanyabiashara huko kariakoo,u-search uulize wadau humo watakupa majibu boss.