Nataka kuanzisha biashara

zyuho

Member
Jun 12, 2019
70
88
Wanajopo natumai niwazima, Kama kichwa kinavyo jitambulisha mi NATAKA kuanza kufanya biashara ya duka kuuliza bidhaa za electrical na electronic sa nahitaji mnijuze kwenu nyinyi ambao mnafanya biashara hi, mnajumua wapi mzigo na changamoto za hi biashara ni zipi . Ahsanteni nyote.
 
Wanajopo natumai niwazima, Kama kichwa kinavyo jitambulisha mi NATAKA kuanza kufanya biashara ya duka kuuliza bidhaa za electrical na electronic sa nahitaji mnijuze kwenu nyinyi ambao mnafanya biashara hi, mnajumua wapi mzigo na changamoto za hi biashara ni zipi . Ahsanteni nyote.
Electrical items nenda mtaa wa Kibla_Ten Kariakoo zipo nyingi.
 
Back
Top Bottom