zyuho
Member
- Jun 12, 2019
- 70
- 89
Wanajopo natumai niwazima, Kama kichwa kinavyo jitambulisha mi NATAKA kuanza kufanya biashara ya duka kuuliza bidhaa za electrical na electronic sa nahitaji mnijuze kwenu nyinyi ambao mnafanya biashara hi, mnajumua wapi mzigo na changamoto za hi biashara ni zipi . Ahsanteni nyote.