Habari wana JF wenzangu nataka kuanzisha biashara ya kuuza na kusambaza unga wa udaga lakini shida yangu ni mifuko ya kupackia sijui wapi naweza kuipata hiyo mifuko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.