Nataka kuanzisha Biashara ya pampas za watoto (Baby diapers)

Mudhamil

Senior Member
Nov 12, 2017
159
89
Habar wakuu Naomba ushauri wenu Nataka kuanzisha biashara ya kuuza pampers za watoto naomba kujua faida yake na changamoto zake kwa mkoa wa dar me nimepanga nitafute vijana kama 5 ivi halaf wawe wanatembeza mtaaan kwa bei nafuuu kidogo Naomba ushauri wenu tafadhal ni njia gani naweza kutumia nikanufaika na hii biashara.
 
Back
Top Bottom