Asante kwa ushauri wakoUnatakiwa kua na leseni ya biashara. Tin , mzani fire extinguisher iliyoservisiwa
1M inatosha?Ungekua mbeya ningekua wakala wako mkuu. Ila kwa dar onana na superdealer na sio madealer utapata maelekezo. Kifupi uwe na chumba tin leseni ya biashara fire extinguisher na mzani. Na pesa isiyopungua mil1
AsanteUwe na
Tin number
Kibali cha jeshi la zimamoto
Leseni.
NB:hupati leseni mpaka uwe na kibali cha fire
AsanteIdea nzur tafuta location nzur mtaji ulionao unatosha kabsa kufanya hyo biashara...Oryx,lake,mihan na manjis(mpya).. Tenga 6million kwa mtaji kuanzia !
Asantee1M inatosha?
mkuu nimeuliza, asante ya nini tena kwangu!Asantee
Kwanza nakupa hongera kwa kufikia uamuzi wako, biashara ya gesi inafaida kubwa sana pale unapopata sehemu inayotoka kwa haraka sana.Kwan faida yake huongezeka kutokana na ujazo wa mtungi utakaouza.Mimi ni mmojawapo wa mfanyabiashara wa gesi,kikubwa ili usipate usumbufu inakubidi uwe na leseni ya biashara,Tin number na fire certificate.Wadau naomba msaada wenu nina mtaji kama wa milioni kumi 10k tsh,nimepata mawazo ya kuanzisha biasahara ya kuuza Gesi ya kupikia,lakini sijui nianze wapi sijui kama hii biashara ina tija kwaufupi sijui chochote kuhusu hii biashara
Sababu ya kutaka kuanza hii biashara naona kuwa mkaa umekuwa bei juu sana wakazi wengi wa Daresalam wanatumia Gesi kwa matumizi ya kupikia,akili yangu inanambia kama hii biasahara inaweza kunioa katika hali ngumu ya kimaisha...
Naomba msada wenu,asanteni
Gas demand inaongezeka siku hadi siku ili kupunguza matumizi ya mkaa kwa lengo utunzaji wa mazingira... Mijadala mingi ya utunzaji wa mazingira inachochea utumiaji wa gas kwahiyo inafanya soko la gas kuwa zuriBiashara hii nzuri ukifanya maeneo ambayo bei ya mkaa ipo juu sana.
Kama mwanza gunia la mkaa elf 55,000
Mtungi wa gas 53,000