muvika online
JF-Expert Member
- Nov 27, 2016
- 375
- 283
Tatizo Hujui Kuandikaaaa UtachekwaHATA UKIELEWA MTAJI UNAOO?? TOFAUTISHA KUELEWA NA UWEZO HAPA TUNAONGELEWA WENYE FEDHA ZAMITAJI SIO WANAOSUBIRI LAKI NNE MWISHO WAMWEZI
Tatizo Hujui Kuandikaaaa UtachekwaHATA UKIELEWA MTAJI UNAOO?? TOFAUTISHA KUELEWA NA UWEZO HAPA TUNAONGELEWA WENYE FEDHA ZAMITAJI SIO WANAOSUBIRI LAKI NNE MWISHO WAMWEZI
Mkuu ka Mil. 2 kanaweza kunitoa kwenye hii biashara?Nawepiamkuu
Kwa kuanzia co mbaya anza na mitungi 10 kubwa t sh @85000 new ndogo 20 sh @45000 new oryx ongeza na kampuni nyingne hata mitungi mi 5Mkuu ka Mil. 2 kanaweza kunitoa kwenye hii biashara?
Ahsante sana mkuu nitarudisha mrejeshoKwa kuanzia co mbaya anza na mitungi 10 kubwa t sh @85000 new ndogo 20 sh @45000 new oryx ongeza na kampuni nyingne hata mitungi mi 5
Hilo sio tatizo, shida iko kwa wafanyabiashara ukianza kuwauliza wanakuwa hawakupi majibu ya uhakika wanaogopa mashindano ya biasharaMimi nafikiri ungeaza na kufanya saveyi na wanaouza ,kwamba wananunua kwa kiasi gana na wanauza kwa kiasi kisha ucheki faida yake.
Nenda kwa ajenti mojakwamoja mfan Oryx ,Mihao na wengine watakupa bei ya jumla kwa mitungi.Hilo sio tatizo, shida iko kwa wafanyabiashara ukianza kuwauliza wanakuwa hawakupi majibu ya uhakika wanaogopa mashindano ya biashara
asante mkuu,wazo langu mimi nataka niwe agent,sitaki kufanya biashara kwa mgongo wa agentNenda kwa ajenti mojakwamoja mfan Oryx ,Mihao na wengine watakupa bei ya jumla kwa mitungi.
Mimi pia nna mawazo haya. Je, naweza kuuza gesi za kampuni zaidi ya moja?Naenda ofisi za oryx, mi han, lake oil n.k utapata maelekezo yote, wataingia mkataba na wewe ila lazima waje wakague eneo lako la biashara na pia Unatakiwa kula guía na fire ili wa jupe kibali cha kukuza gesi, biashara yako lazima iwe imesajiliwa na BRELA na Uwe umeme pia vibali vyote husika
Ndiyo inawezekana, mtaji wako tuMimi pia nna mawazo haya. Je, naweza kuuza gesi za kampuni zaidi ya moja?
Asante MkuuNdiyo inawezekana, mtaji wako tu
Hongera mkuubiashara poa san mkuu kikubwa uwe na usafiri wa kusambaza ivi mwanza lugha nzuri na wateja, mwenyewe nina fremu sita za gas hapa dsm
Faida yake ipoje per mtungi, ile midogo na mikubwq.. Isije ikawa kama biashara ya mpesa..biashara poa san mkuu kikubwa uwe na usafiri wa kusambaza ivi mwanza lugha nzuri na wateja, mwenyewe nina fremu sita za gas hapa dsm
Gas ina faida kubwa mimi nilifanyia savey wakati ule Bigbon yuko msimbazi naskia kaacha,it was amazing in pricing,only that nilivyo ona upepo wa Magu nikakomalia mahali pa kuishi nikavuruga hiyo plan lakini it is amazing.Mimi nafikiri ungeaza na kufanya saveyi na wanaouza ,kwamba wananunua kwa kiasi gana na wanauza kwa kiasi kisha ucheki faida yake.