Nataka kuanzisha biashara ya kuchomelea vyuma

tamimy

Member
Apr 2, 2016
26
13
Nimefikiria kuanzisha biashara ya kuchomelea (welding) mageti, milango, madirisha na mambo mengine. Naomba kujua baadhi ya mambo.

Kwanza jinsi au wapi kwa kupata mashine na vifaa vingine vya hiyo kazi. Pili sjui kama nafungua tu au kuna protocol natakiwa nipitie. Msishangae mimi ni mgeni kabisa kwenye hii fani na sijui hata kuchomea unaanzaje nataka tu ni invest hasa kwa kuajiri mtu but nitakuwa ninajifunza taratibu na mimi maana naipenda but mimi ni mtu wa fani nyingine.

Tatu na mwisho naomba kujua ugumu na wepesi wake hasa kwenye upatikanaji wa resources na soko. Nadhani nikijua hivyo nitapata picha.

Msaada tafadhali kwa anayefahamu.
df4dcfca972bb6ce9d8098a1cf1f9f74.jpg
 
All the best brother!!

Uwe makini na mwanga unaotoka pindi uchomeleapo.Uvae zana za kazi ili kuepuka maradhi yanayoweza kuepukika.
 
Umesema wewe ni mtu wa fani nyingine, sasa kwanini usiinvest kwenye hiyo fani yako au hailipi? Me nafikiri ukiwekeza kwenye kitu unachokifaham ni rahisi kuliko kuvamia sehem ambazo huna uzoefu nazo
 
Umesema wewe ni mtu wa fani nyingine, sasa kwanini usiinvest kwenye hiyo fani yako au hailipi? Me nafikiri ukiwekeza kwenye kitu unachokifaham ni rahisi kuliko kuvamia sehem ambazo huna uzoefu nazo

Sidhani km ni kwa sababu ya kushindwa kwenye fani yangu chukulia kila kitu kwenye positive utafanikiwa kuliko kuwaza katika mtazamo hasi unajuaje kuwa nitafeli?! Na nani amekuambia kuanza fani nyingi e ni mpaka ushindwe ya awali!?
 
Sidhani km ni kwa sababu ya kushindwa kwenye fani yangu chukulia kila kitu kwenye positive utafanikiwa kuliko kuwaza katika mtazamo hasi unajuaje kuwa nitafeli?! Na nani amekuambia kuanza fani nyingi e ni mpaka ushindwe ya awali!?
Hakuna sehemu nimesema ulifeli au utafeli, mkuu umeninukuu vibaya pitia post yangu vizuri halafu utafakari kiutuuzima utaelewa
 
Nimefikiria kuanzisha biashara ya kuchomelea (welding) mageti, milango, madirisha na mambo mengine. Naomba kujua baadhi ya mambo.

Kwanza jinsi au wapi kwa kupata mashine na vifaa vingine vya hiyo kazi. Pili sjui kama nafungua tu au kuna protocol natakiwa nipitie. Msishangae mimi ni mgeni kabisa kwenye hii fani na sijui hata kuchomea unaanzaje nataka tu ni invest hasa kwa kuajiri mtu but nitakuwa ninajifunza taratibu na mimi maana naipenda but mimi ni mtu wa fani nyingine.

Tatu na mwisho naomba kujua ugumu na wepesi wake hasa kwenye upatikanaji wa resources na soko. Nadhani nikijua hivyo nitapata picha.

Msaada tafadhali kwa anayefahamu.
df4dcfca972bb6ce9d8098a1cf1f9f74.jpg
Mkuu hata mimi nina idea kama yako. Na mimi nimesomea fani nyingine kabisa. But nataka kuanzisha workshop ya welding. Na sijawahi hata kuchomelea. Nadhani wadau watatushauri aina ya mashine iliyo bora, faida na hasara kwa ujumla n.k
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom