Nataka kuanza kununua shares kwenye Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE)

kama unataka kuwa sehemu ya umeleki wa kampuni usubiri mgawo kutokana na % ya ulichowekeza jichanganye mkuu, saivi makampuni mengi yapo surviving stage
 
Kiukweli kwa Sasa soko la hisa limekaa vibaya.
Nakumbuka mwaka Jana nilinunua hisa za tpcc nikazihifadhi karibu mwaka mzima lakini hazikupanda ikanibidi mwaka huu nikazichomoe hivyohivyo bila kupata faida.
Kwa hiyo kwa Sasa Kama utanunua hisa labda iwe kwa ajili ya faida ya miaka mingi ijayo Kama kuanzia miaka 5 na kuendelea.
 
Wanajamvi naomba kujuzwa ni kampuni zipi nikinunua hisa zake naweza kuwa na matumaini ya kupata faida baada ya kuanzia miaka kumi hadi kumi na tano bila kuwa na hofu ya kufilisika kwa kampuni husika. Natanguliza shukrani
 
Biashara ya hisa ni nzuri pale kampuni inapokuwa inauza hisa zake kwa mara ya kwanza...na ili ufanikiwe zaidi inabidi uweke pesa nyingi....ili zikipanda tu...ww unaziuza zote..mfano unaweka 20m kwa bei ya 500 kwa hisa...zikifika bei ya buku unaziuza..unapata 40m...tatizo siku hizi hazipandi sijui kwa nn! Mm nilinunua za voda kwa 850...nadhani sasa hivi ni 800...na gawio ni kidogo sana...kwa mm hii biashara inawafaa matajiri.
 
mkuu kuna broker wengi hapa mjini unaweza anza kwao wakakupa ABC za kuhusu hisa ila kwasasa sikushauri ukimbilie hisa maana makampuni mengi yanakula mweleka angalia yaliyotokea kwa ACACIA, pia pampuni nyingine hazifanyi vizuri ki biashara kwahiyo si wakati mzuri hata kidogo angalia upepo wa bonds na bills huko ni bora mara 100
 
1.Biashara ya hisa sio ya kukufanya uwe tajiri ghafla (quick to get rich)
2.Partner wako mkubwa ni muda,weka malengo ya kuendelea kununua hisa kidogo kidogo badala ya kufanya savings benki na haifanyi biashara yako.
3.Assume kama utawekeza for 10 to 20 yrs, na mwanao akikua ukamrithisha akaendelea kuwekeza kidogo kidogo
4.Lazima soko la hisa liendelee kukua, kwa kuangalia hint namba tatu, familia yako inaweza jikuta imemiliki hisa za kutosha na alhamdullilah bei zimepanda mnakuwa mmetoboa.
5.Certificate unaweza kukopea benk ukawa unafanya mambo yako, kuliko kukopa kwa kuweka nyumba halafu u bounce na kupitia kero za "nyumba hii inauzwa".
Nimeandika chap chap, wabongo wenye extra income "wamezubaa" hata ukiwashauri hawashauriki.Maisha yetu hayatofautiani na wazee wetu gari nyumba uzeeni gari hoi nyumba imechakaa na business hakuna yani "alichofanya babu ndio tunakirudia katika version ya kisasa ila mwisho(destination)ni YALEYALE babu alikuwa na pegeout wewe una rav 4 ambayo tofauti na babu aliiweka juu ya mawe ukumbusho tukapigia picha,wewe utauza chuma chakavu😂.IM OUT NIME RAP VERSE BILA VINA
 
Anayefaham kinachoendelea na hisa za precissionair naomba afunguke. Mwaka wa sita huu sasa sijasikia lolote
 
Hisa ni investment nzuri ila sio kwa sisi wabongo lala ambao hatujui kesho yetu (muda wowote unaweza kufa) ni bora hyo pesa ufanyie issue nyingne.

Nlikua na rafiki yangu alipata kama 30M hv, akanunua hisa kama za 20M then ile 10M akaweka Fixed Deposit for 8yrs, aisee kilichotokea mwaka jana mwishoni jamaa kafa na sijui hatma ya zile pesa zake za bank imekuwaje maana sidhani kama aliacha back up kwa mtu yoyote in case yeye akafa. Mimi nlikua nampinga sana kuhusu hzo mishe ila ndio hvyo.

Ila kwa ushauri mtafute mtaalamu wa hayo mambo akupe ushauri mzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hisa ni investment nzuri ila sio kwa sisi wabongo lala ambao hatujui kesho yetu (muda wowote unaweza kufa) ni bora hyo pesa ufanyie issue nyingne.

Nlikua na rafiki yangu alipata kama 30M hv, akanunua hisa kama za 20M then ile 10M akaweka Fixed Deposit for 8yrs, aisee kilichotokea mwaka jana mwishoni jamaa kafa na sijui hatma ya zile pesa zake za bank imekuwaje maana sidhani kama aliacha back up kwa mtu yoyote in case yeye akafa. Mimi nlikua nampinga sana kuhusu hzo mishe ila ndio hvyo.

Ila kwa ushauri mtafute mtaalamu wa hayo mambo akupe ushauri mzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Thats bad aisee,fatilia kwa kuwajulisha ndugu zake.Wakienda na death certificates familia yakenitapewa mwongozo pesa mwisho wa siku itapatikana.Mfanyie rafiki yako jambo hilo muhimu,kama huko tunapoenda huwa wanaona atakushukuru sana
 
Walionunua Hisa TPC TBL na TCC miaka 2005 leo hii ni millionaires kama hawakuziuza

1628849450018.png

Mfano kama hisa moja ilikuwa 700 TZS ukanunua hisa 10,000 kwa wakati huo kwa TZS 7,000,000 kwa bei ya sasa sokoni TZS 5,230/- kwa hisa maana yake kwa miaka 16 TZS million 7 inathamani ya TZS 52,300,000,, Hisa ni long term investiment

1628849687538.png


1628849708419.png


1628849743683.png


1628849771918.png

1628849798433.png



Ila kwa wote aliwekeza TCC kipindi cha IPO kama hajauza mzigo atakuwa nao mnene sana leo, 4,100,000/- kwa hisa 10,000/- angeuza kipindi cha peak price leo angekuwa na 182,500,000/-. Kama unafanya ununuzi wa hisa angalia kampuni zenye future na wekeza kwa ajili ya watoto. You will thank me later. Wacha nikanunue hata share 10 sasa hivi #HisaKiganjani

1628849886664.png


Target yangu ni kuwa na share 10,000/- kwa kampuni moja pale DSE mdami ya miaka mitano ijayo.
 
Walionunua Hisa TPC TBL na TCC miaka 2005 leo hii ni millionaires kama hawakuziuza

View attachment 1890566
Mfano kama hisa moja ilikuwa 700 TZS ukanunua hisa 10,000 kwa wakati huo kwa TZS 7,000,000 kwa bei ya sasa sokoni TZS 5,230/- kwa hisa maana yake kwa miaka 16 TZS million 7 inathamani ya TZS 52,300,000,, Hisa ni long term investiment

View attachment 1890571

View attachment 1890572

View attachment 1890574

View attachment 1890575
View attachment 1890576


Ila kwa wote aliwekeza TCC kipindi cha IPO kama hajauza mzigo atakuwa nao mnene sana leo, 4,100,000/- kwa hisa 10,000/- angeuza kipindi cha peak price leo angekuwa na 182,500,000/-. Kama unafanya ununuzi wa hisa angalia kampuni zenye future na wekeza kwa ajili ya watoto. You will thank me later. Wacha nikanunue hata share 10 sasa hivi #HisaKiganjani

View attachment 1890579

Target yangu ni kuwa na 10,000/- kwa kampuni moja pale DSE mdami ya miaka mitano ijayo.
Share 10 ni utopolo tu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom