PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,522
- 13,110
Mimi nilizoea kufuga nywele ila siku nilivyonyoa ilibidi nifanye kazi ya kuanza kujitambulisha upya maana watu walikuwa hawajui kama ndio Mimi,tangia hapo si shave nywele kipumbavu
Sent by Diaspora