Mstaarabu wa ukwee
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 209
- 135
Hbr ndugu.
Nimeshalipa frame sehemu ambayo imechangamka na haina maduka mengi ya mtindo huo.
Naomba ushauri mtaji wangu si mkubwa sana ni vitu gani vya muhimu vinavyotoka sana ili nianze navyo?
Lakini pia ushauri wowote unao ona utanifaa ili nijikongoje mdogo mdogo.
NB
Naomba ushauri pia juu ya mizani ya dukani bei na kuulipia maana nimesikia unalipiwa.
Nimeshalipa frame sehemu ambayo imechangamka na haina maduka mengi ya mtindo huo.
Naomba ushauri mtaji wangu si mkubwa sana ni vitu gani vya muhimu vinavyotoka sana ili nianze navyo?
Lakini pia ushauri wowote unao ona utanifaa ili nijikongoje mdogo mdogo.
NB
Naomba ushauri pia juu ya mizani ya dukani bei na kuulipia maana nimesikia unalipiwa.