Nataka kuamini Dkt. Mataragio si mwanasiasa, ni Msomi anayejikita katika utaalamu wa alichosomea

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,323
11,418
Alianza na Kikwete, akaja tenguliwa kipindi fulani. Dkt. Magufuli akamrudisha. Jana akatenguliwa leo Mh. Samia kamrudisha.

Najiuliza huyu Bwana ni nani? Utendaji wake ukoje? Napata mawazo huyu anaweza kuwa ni mmoja ya wasomi wachache ambao wanafanya kazi kitaalamu yaani yeye ni mfuasi wa taaluma yake.

Kwa maana hajiambatanishi na kiongozi yeyote zaidi ya kile anachopaswa kukifanya hivyo kila kiongozi akija inakuwa rahisi kufanya naye kazi.

Mwenye habari zake zaidi atusaidie.
 
Tafta CV yake utamuelewa.

Ni msomi na mtaalamu wa kiwango chajuu sana.

Wasifu(CV) wa Dkt. James Mataragio


Bell Geospace geoscientist appointed Director General of TPDC

Bell Geospace has announced that one of their valued geoscientists, Dr James Mataragio has been appointed to the post of Director General of the Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) by President Jakaya, effective 15th December 2014. During his tenure at Bell Geospace, Dr Mataragio has been exposed to a variety of mineralisation and hydrocarbon projects, which have contributed to the skill set and experience required by TPDC for the role of Director General.

The appointment of Dr Mataragio, who has worked for Bell Geospace since 2004, was announced in a statement issued by Chief Secretary, Ambassador Ombeni Sefue, adding that Dr Mataragio is among a few experts in minerals, oil and natural gas in diaspora who volunteered advice to the government on development of the sector. The chief secretary further said the president was optimistic that Dr Mataragio will use his education, experience and expertise to overhaul TPDC to become a real development engine and take the nation’s economy to new heights.

In his ten years with Bell Geospace, Dr Mataragio has worked with a number of major international oil and gas firms, including Petrobras (Brazil); BP; Anadarko; Pitkin (Philippines and Peru); Tullow Oil; Pemex (Mexico); ANP (Brazil), Ecopetrol (Colombia); Petronas (Malaysia) and Vale Rio Doce.

Scott Hammond, CEO of Bell Geospace, says “While we will be sad to lose such a valued member of our geoscience team, we are delighted that James is going on to such an important role in the future of petroleum development in Tanzania, and this appointment is a tribute to the sterling work that he has done, both for Bell Geospace and prior to studying for a PhD his work in Tanzania for Anglo Gold and Anglo American. We will be following his progress with great interest, and are sure that he will bring a breadth of skill and experience to this role that will ensure that TPDC has a significant impact on exploration and production in Tanzania”.
 
Dkt. James P. MATARAGIO ni Mtanzania ambaye hivi sasa anaishi na kufanya kazi nchini Marekani akiwa Senior Geoscientist wa Kampuni ya Bell Geospace, Houston, Marekani. Wasifu wake ni kama ifuatavyo:-

ELIMU:-
Masters in Business Development (MBA), Chuo Kikuu cha Charlotte, North Caroline, Marekani (2008)
PhD (Geochemistry, Mineralogy, Structural Geology and Petroleum Geology), Chuo Kikuu cha Missouri – Rolla, Missouri, Marekani (2005)
MSc (Geochemistry and Petrology), Chuo Kikuu cha Okinawa, Japan (1997)
BSc(Hons) (Geology), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, 1994

UZOEFU WA KAZI:-
Mwaka 2004 – hadi sasa, Senior Geoscientist, Bell Geospace Inc, Houston, Texas, USA
2001 – 2004, Mhadhiri Msaidizi, Chuo Kikuu cha Missouri, wakati akisoma Shahada ya Uzamivu
2000 – 2001, Mhadhiri Msaidizi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
1999 – 2000, Meneja Mradi, Anglo Gold (Buzwagi)
1994 – 1999 -, Exploration Geologist, Anglo America Corporation.

Miongoni mwa makampuni makubwa ya kimataifa ya mafuta na gesi aliyofanya nayo kazi kwa niaba ya mwajiri wake Bell Geospace ni pamoja na Petrobras (Brazil); BP; Anadarko; Tullow; Pemex (Mexico); ANP (Brazil), Ecopetrol (Colombia); Petronas, (Malaysia) na Vale Rio Doce.

Aidha, Dkt. James P. MATARAGIO ni mmoja wa wataalam wa sekta ya madini, mafuta na gesi asilia waishio Marekani (Diaspora) ambao walijitolea kuishauri Serikali kuhusu sekta hiyo bila malipo.

Kwa kuzingatia elimu yake, uzoefu wake na uzalendo wake, Rais ana matumiani makubwa kuwa Dkt. James P. MATARAGIO ataleta nguvu mpya na uzoefu mkubwa wa kimataifa katika kuiongoza TPDC ili iwe kampuni kubwa ya kitaifa ya mafuta na gesi asilia kama yalivyo makampuni mengine ya kitaifa ya mafuta na gesi asilia duniani.
 
Dkt. James P. MATARAGIO ni Mtanzania ambaye hivi sasa anaishi na kufanya kazi nchini Marekani akiwa Senior Geoscientist wa Kampuni ya Bell Geospace, Houston, Marekani. Wasifu wake ni kama ifuatavyo:-

ELIMU:-
Masters in Business Development (MBA), Chuo Kikuu cha Charlotte, North Caroline, Marekani (2008)
PhD (Geochemistry, Mineralogy, Structural Geology and Petroleum Geology), Chuo Kikuu cha Missouri – Rolla, Missouri, Marekani (2005)
MSc (Geochemistry and Petrology), Chuo Kikuu cha Okinawa, Japan (1997)
BSc(Hons) (Geology), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, 1994

UZOEFU WA KAZI:-
Mwaka 2004 – hadi sasa, Senior Geoscientist, Bell Geospace Inc, Houston, Texas, USA
2001 – 2004, Mhadhiri Msaidizi, Chuo Kikuu cha Missouri, wakati akisoma Shahada ya Uzamivu
2000 – 2001, Mhadhiri Msaidizi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
1999 – 2000, Meneja Mradi, Anglo Gold (Buzwagi)
1994 – 1999 -, Exploration Geologist, Anglo America Corporation.

Miongoni mwa makampuni makubwa ya kimataifa ya mafuta na gesi aliyofanya nayo kazi kwa niaba ya mwajiri wake Bell Geospace ni pamoja na Petrobras (Brazil); BP; Anadarko; Tullow; Pemex (Mexico); ANP (Brazil), Ecopetrol (Colombia); Petronas, (Malaysia) na Vale Rio Doce.

Aidha, Dkt. James P. MATARAGIO ni mmoja wa wataalam wa sekta ya madini, mafuta na gesi asilia waishio Marekani (Diaspora) ambao walijitolea kuishauri Serikali kuhusu sekta hiyo bila malipo.

Kwa kuzingatia elimu yake, uzoefu wake na uzalendo wake, Rais ana matumiani makubwa kuwa Dkt. James P. MATARAGIO ataleta nguvu mpya na uzoefu mkubwa wa kimataifa katika kuiongoza TPDC ili iwe kampuni kubwa ya kitaifa ya mafuta na gesi asilia kama yalivyo makampuni mengine ya kitaifa ya mafuta na gesi asilia duniani.
Sasa ndo unamleta mtu kasoma BA community development na MA HR
 
Dkt. James P. MATARAGIO ni Mtanzania ambaye hivi sasa anaishi na kufanya kazi nchini Marekani akiwa Senior Geoscientist wa Kampuni ya Bell Geospace, Houston, Marekani. Wasifu wake ni kama ifuatavyo:-

ELIMU:-
Masters in Business Development (MBA), Chuo Kikuu cha Charlotte, North Caroline, Marekani (2008)
PhD (Geochemistry, Mineralogy, Structural Geology and Petroleum Geology), Chuo Kikuu cha Missouri – Rolla, Missouri, Marekani (2005)
MSc (Geochemistry and Petrology), Chuo Kikuu cha Okinawa, Japan (1997)
BSc(Hons) (Geology), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, 1994

UZOEFU WA KAZI:-
Mwaka 2004 – hadi sasa, Senior Geoscientist, Bell Geospace Inc, Houston, Texas, USA
2001 – 2004, Mhadhiri Msaidizi, Chuo Kikuu cha Missouri, wakati akisoma Shahada ya Uzamivu
2000 – 2001, Mhadhiri Msaidizi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
1999 – 2000, Meneja Mradi, Anglo Gold (Buzwagi)
1994 – 1999 -, Exploration Geologist, Anglo America Corporation.

Miongoni mwa makampuni makubwa ya kimataifa ya mafuta na gesi aliyofanya nayo kazi kwa niaba ya mwajiri wake Bell Geospace ni pamoja na Petrobras (Brazil); BP; Anadarko; Tullow; Pemex (Mexico); ANP (Brazil), Ecopetrol (Colombia); Petronas, (Malaysia) na Vale Rio Doce.

Aidha, Dkt. James P. MATARAGIO ni mmoja wa wataalam wa sekta ya madini, mafuta na gesi asilia waishio Marekani (Diaspora) ambao walijitolea kuishauri Serikali kuhusu sekta hiyo bila malipo.

Kwa kuzingatia elimu yake, uzoefu wake na uzalendo wake, Rais ana matumiani makubwa kuwa Dkt. James P. MATARAGIO ataleta nguvu mpya na uzoefu mkubwa wa kimataifa katika kuiongoza TPDC ili iwe kampuni kubwa ya kitaifa ya mafuta na gesi asilia kama yalivyo makampuni mengine ya kitaifa ya mafuta na gesi asilia duniani.
Angalia Cv ilivyoshiba halafu unaweza ukailinganisha na Ile ya Chuo cha Yohana masomo ya jioni?

Aliyeturoga anatoka CCM na huenda kashakufa
 
Tujiulize what is the impact of TPDC ina economy contribution na pato la taifa
Nami nasubiri majibu hapa maana ninachoona imejikita kwenye Tafiti zisizo leta faida yoyote huenda niko wrong let me wait vivid information
 
Alianza na Kikwete, akaja tenguliwa kipindi fulani. Dkt. Magufuli akamrudisha. Jana akatenguliwa leo Mh. Samia kamrudisha.
Kikwete alianzisha utaratibu wa kutafuta watalaamu wa Kitanzania waliopo duniani ili waje kutumia uzoefu wao Bongo!! Hapa ndipo alipomchukua Mataragiro ambae alikuwa na kazi mzuri sana kwenye industry ya mafuta na gesi, nadhani huko Texas!
 
Kuna Dada pale TIC alipoingia Mzalendo alimfukuza kwa kosa la kutolipwa Mshahara tukashangilia sana
Kikwete alianzisha utaratibu wa kutafuta watalaamu wa Kitanzania waliopo duniani ili waje kutumia uzoefu wao Bongo!! Hapa ndipo alipomchukua Mataragiro ambae alikuwa na kazi mzuri sana kwenye industry ya mafuta na gesi, nadhani huko Texas!
 
..kama wanataka kumbadilisha watafute Mtanzania mwenye elimu nzuri, na uzoefu wa kutosha, kuongoza Tpdc.

..pia mtu atakayeteuliwa anatakiwa apatikane kupitishia mchakato wa wazi wenye USHINDANI.

..utaratibu wa kumpata DG wa Tpdc uko hivi:

1. Tangazo la kazi kuwekwa ktk vyombo vya habari.

2. Watuma maombi kufanyiwa VETTING.

3. Waombaji waliokuwa vetted kufanyiwa interview na JOPO linalosimamia zoezi la kumpata Mkurugenzi.

4. Jopo kupendekeza majina matatu / 3 FINALISTS ya waombaji waliofanya vizuri ktk interview.

5. RAIS kuteua mmoja kati wa 3 FINALISTS waliopendekezwa.

..Mara nyingi matatizo hutokea ikiwa mchakato nilioueleza hapo haujazingatiwa.

Cc LIMBOMAMBOMA , Ndahani
 
Tujiulize what is the impact of TPDC ina economy contribution na pato la taifa
Watu wengi kama wewe hawajui mchango wa tpdc kwenye uchumi ama maisha yao ya kila siku.

Watu wengi wanaijua TANESCO ila hawajui wanaosapoti tanesco kwenye kazi zake ni kina nani.

Kwa kukusaidia, umeme unauona unawaka nchi hii 60% unatokana na gas na hiyo gas mmiliki wake ni tpdc.

Tpdc anaiuzia gas tanesco kwenye mitambo yake ya kinyerezi, ubungo na pia tpdc anaiuzia gas songas ambayo inazalisha umeme inauizia tanesco.

Kwa hiyo zaidi ya 60% ya umeme unatokana na gas na mmiliki wa hiyo gas ni tpdc.

Tpdc ni kampuni yenye makusanyo ghafi zaidi ya bilioni 600 kwa mwaka, maana yake inakusanya zaidi ya bilioni 50 kwa mwezi kutokana nakuuza gas.

Pamoja na hilo tpdc ndiyo yenye mamlaka ya kusimamia utafiti na uchimbaji wa gas na mafuta kwenye ardhi ya Tanzania.

Sheria ya mafuta ya mwaka 2015 iliipa tpdc mamlaka ya kua shirika la mafuta la taifa ama National Oil Company, hivyo inatakiwa ianze biashara ya kuagiza na kuuza mafuta kwa jumla na rejareja(bulk and retail) na sheria inaitaka tpdc iwe na umiliki wa 50% ama zaidi wa mafuta yanayoingizwa hapa nchini. Ndio maana unaona wameanza biashara ya kuuza mafuta, wameanzisha sheli(vituo vya kuuza mafuta) zao na wanatakiwa kila mwaka kujenga ama kurent/lease sheli 5 kwa mwaka.

Unaona kwa uchache tpdc ina ulaji mwingi sana maana wana mamlaka kama hawawezi jambo basi walipeleke kwenye private sector kwa sharing agreements. Unaona hapo jinsi kuna potential ya mikataba minono ya mafuta, gas na mambo kama hayo.

Mataragio toka ameingia pale amekua kikwazo kwa madalali na wapiga deal ambao wanataka mtu wao awepo pale awapitishie deals, mikataba na mambo kama hayo watajirike haraka. Ndio maana unaona kila siku zengwe juu yake.
 
Alianza na Kikwete, akaja tenguliwa kipindi fulani. Dkt. Magufuli akamrudisha. Jana akatenguliwa leo Mh. Samia kamrudisha.

Najiuliza huyu Bwana ni nani? Utendaji wake ukoje? Napata mawazo huyu anaweza kuwa ni mmoja ya wasomi wachache ambao wanafanya kazi kitaalamu yaani yeye ni mfuasi wa taaluma yake.

Kwa maana hajiambatanishi na kiongozi yeyote zaidi ya kile anachopaswa kukifanya hivyo kila kiongozi akija inakuwa rahisi kufanya naye kazi.

Mwenye habari zake zaidi atusaidie.
Very nice guy, humble and intelligent
 
Back
Top Bottom