dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,159
- 54,527
mvute ndani sogea tukae utafune mbususu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshawahi kurogwa mkuu?
Shauri yako
Kama hujarogwa mpaka meza hii unataka ipindua bac ni dalili uta.....
Nakuombea Mungu usipatwe na akuepushe nayo maana waswahili hawafai.
Tayari mtu keshapulizwaShughuli za ndoa huandamwa na husda na vijicho hivo kama hali hiyo inatokea bila sababu jiongeze kiutu uzima
Kuna mchepuko ameshafanikiwa kukuloga. usije ukaahirisha kama huna sababu yoyote tu.kwa nini ufikirie uahirishe kirahisi jambo la mhimu kama hilo?Wadau nisaidie kimawazo na Ushauri Mwaka huu Mwez October ni harusi yangu ila Gafla imetokea sitaki kusikia kitu kuhusu ndoa kabisa. Inshort sitaki kuoa Mwaka huu hata mwanamke nayetaka kumuoa sitaki hata kumuona nimetokea kumchukia Namuona hadi ni kero kwangu
Taratibu zote za harusi tayari ila nataka kuahirisha kufunga ndoa mwaka huu nifanyaje ili hii harusi isifungwe mwaka huu nimechanganyikiwa
Wakati wataka kuoa hukutushirikisha. Kwanini sasa iwe habari yetu pia?Wadau nisaidie kimawazo na Ushauri Mwaka huu Mwez October ni harusi yangu ila Gafla imetokea sitaki kusikia kitu kuhusu ndoa kabisa. Inshort sitaki kuoa Mwaka huu hata mwanamke nayetaka kumuoa sitaki hata kumuona nimetokea kumchukia Namuona hadi ni kero kwangu
Taratibu zote za harusi tayari ila nataka kuahirisha kufunga ndoa mwaka huu nifanyaje ili hii harusi isifungwe mwaka huu nimechanganyikiwa
Ni ukweli ivoooo, imetokea kwa ndugu yangu kabisaaa,hii kiboko aisee, so mzee akatoa kipondo kwa jamaa akili zikarudi akaenda kuoa,
Queen hii ya kweli au umeamua tu kutuvunja mbavu???
Hii ipo sana uchagani...kuna jirani yangu alifyeka migomba kama upepo vile..wakaja kumchinjia ng'ombe na mbuzi eti kuwa kuna mtu anamloga.Uchagani inafanya kazi mkuu..mimi nilikua na hamu ya mbuzi wazee wakawa wanabana,nikabeba panga nikakata migomba kama 10 hivi kesho yake nikachinjiwa mbuziii kuniondolea mikosi
Itabidi kirudisha kwanza michango yetuWadau nisaidie kimawazo na Ushauri Mwaka huu Mwez October ni harusi yangu ila Gafla imetokea sitaki kusikia kitu kuhusu ndoa kabisa. Inshort sitaki kuoa Mwaka huu hata mwanamke nayetaka kumuoa sitaki hata kumuona nimetokea kumchukia Namuona hadi ni kero kwangu
Taratibu zote za harusi tayari ila nataka kuahirisha kufunga ndoa mwaka huu nifanyaje ili hii harusi isifungwe mwaka huu nimechanganyikiwa
Akili tu hiyo yakula nyamaaHii ipo sana uchagani...kuna jirani yangu alifyeka migomba kama upepo vile..wakaja kumchinjia ng'ombe na mbuzi eti kuwa kuna mtu anamloga.
Waambie ndugu na jamaa na huyo mkeo mtarajiwa kua umekua shoga unataka uolewe na kwamba huhitaji mwanamke tena bali unataka mwanaume wa kukuoa.
Je huyo mwanamke umemuona ana dalili kama mademu wa kisasa (kudanga na mabwana lukuki)?Wadau nisaidie kimawazo na Ushauri Mwaka huu Mwez October ni harusi yangu ila Gafla imetokea sitaki kusikia kitu kuhusu ndoa kabisa. Inshort sitaki kuoa Mwaka huu hata mwanamke nayetaka kumuoa sitaki hata kumuona nimetokea kumchukia Namuona hadi ni kero kwangu
Taratibu zote za harusi tayari ila nataka kuahirisha kufunga ndoa mwaka huu nifanyaje ili hii harusi isifungwe mwaka huu nimechanganyikiwa
Tunakutegemea mkuu msaidie kijana wetu huyoTayari mtu keshapulizwa
Yes aseme ukweliWeka sababu za kumchukia hadharani. Haiwezekani ghafla tu KE uliyempenda hadi kumchumbia ukamtambulisha kwenu na ukakubali kutambulishwa kwao na kukamilisha process zote za harusi hutaki hata kusikia jina lake. KULIKONI!?