CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,571
- 882
jana nilikuwa natoka nairobi nilikuwa na netbook pisi kumi tulivyovuka tu boda mara watu wa TRA hawa hapa hakatusach wakanikuta nazo wakala laki yangu. tulipofika kajiado tena hawa hapa wakala fifty yangu. niliona usumbufu kuanza kubishana nao maana gari lingeniacha.hata ukiwa na computer zaidi ta kumi hakunda ushuru