asante: ni muhimu kuandika sababu ya kuacha kazi?Msaada.
1.Toa notice ya masaa 24 na umlipe mwajiri wako mshahara wa mwezi mmoja. ''kama una haraka ya kuondoka''
2. Toa notice ya siku 30 kabla ya kuondoka na ufanye kazi kwa hizo siku kwa misingi ya kukabizi ofisi.
Msaada.
1.Toa notice ya masaa 24 na umlipe mwajiri wako mshahara wa mwezi mmoja. ''kama una haraka ya kuondoka''
2. Toa notice ya siku 30 kabla ya kuondoka na ufanye kazi kwa hizo siku kwa misingi ya kukabizi ofisi.