Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Nakuona mkoloni mweusi jinsi unavyowakamua wenzako.
Niambie hivi nyie mnafanya kazi gani mpaka mlipwe 25%.
Mwanangu nunua bajaji paki kijiweni kwasiku utapata mpaka 80 ukikaa vijiwe vizuri. Ubber ni matapeli .
Niambie hivi nyie mnafanya kazi gani mpaka mlipwe 25%.
Mwanangu nunua bajaji paki kijiweni kwasiku utapata mpaka 80 ukikaa vijiwe vizuri. Ubber ni matapeli .
Ndio maana siku zote matajiri watabaki kuwa wachache mno, uber imetajirisha vijana:
1. Anakopeshwa gari bila sent tano kijana anajikunja ndani ya miaka 2 tu gari lake
kupitia Uber CRDB pekee wamekopesha magari 260 bado bank zingine bado mtu mmoja mmoja.
2. Niambie ni wapi utakopeshwa gari ya 12 mln bila sent ? mtaji ni leseni yako tu
3. Ukiona mabank wanafatilia mradi na wako tayari kutoa pesa zao jua hapo kuna ulaji
4. Uber ni FURSA yako wewe" KIJANA"Mchakalikaji/mchapakazi, Discipline ya hakika,
dereva mjuzi/uzoefu ,huna anasa/ulevi wowote, mwenye ndoto na malengo,
. . . . Inaendelea . . . .