Masaningala
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 543
- 199
Kwa muda mrefu nimekuwa na hamu ya kufanya kazi katika mojawapo ya ofisi ya TAKUKURU au Kamisheni ya Maadili ya Viongozi. je nitumie njia ipi nipate nafasi huko? Kazi ninayotaka iwe ya mkataba. mojawapo ya malengo yangu ni kwenda kufundisha uwajibikaji na kuweka uwazi maeneo hayo. Naomba msaada wa mwongozo.