Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,332
KITUO CHA TV KUNILIPA TRIONI 5.
Nimeshangaa kituo fulani cha Tv kilirusha habari za kupotosha juu yangu na kutangaza mimi ni Jambazi na Gaidi, kipindi nasimamia uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Nyampulukano, jimbo la Sengerema mwaka 2013.
Nikiwa msimamizi mkuu kutokea chama cha NCCR Mageuzi. Nimesikitishwa sana na udhalilishaji huu uliofanyika, Mungu anipe nguvu lazima wanilipe Trioni 5.
Ifikie hatua tuache kuzusha uongo na kupeleka kwenye Televisheni ili kumchafua mtu asiye na hatia kisa wivu.
Deogratius Kisandu
Nimeshangaa kituo fulani cha Tv kilirusha habari za kupotosha juu yangu na kutangaza mimi ni Jambazi na Gaidi, kipindi nasimamia uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Nyampulukano, jimbo la Sengerema mwaka 2013.
Nikiwa msimamizi mkuu kutokea chama cha NCCR Mageuzi. Nimesikitishwa sana na udhalilishaji huu uliofanyika, Mungu anipe nguvu lazima wanilipe Trioni 5.
Ifikie hatua tuache kuzusha uongo na kupeleka kwenye Televisheni ili kumchafua mtu asiye na hatia kisa wivu.
Deogratius Kisandu