Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,794
- 71,214
Tokea mwaka huu umeanza mpaka sasa tunakaribia sikukuu ya Noeli ndio naona ushauri wa hekima kabisa umeutoa hapa JF.Mkuu jaribu pia kutafuta wataalamu wa maradhi ya akili kwanza kabla ya kuendelea na ndoto hii.
On behalf of myself and JF nakupongeza Wakudadavuwa aka JS wa Songwe