Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 18,899
- 49,113
Habari wakuu.
TPDC wametoa post za kazi, deadline 27 june. Mimi kufika hiyo tarehe nitakua nimeshamaliza chuo (Geologist) so nimependa ni apply nijaribu baht yangu. Ila nina maswali naomba mnisaidie:
-Watakubali provision results yenye matokeo ya semester 5?
-Kuna watu wanasema eti barua za application lazima zitumwe kwa EMS, je ni kweli? Wanadai kwa posta ya kawaida zinaweza kukaa ata mwezi mzima njiani.
-Ni mgeni ktk ku apply kazi, hivi unaruhusiwa kuomba zaidi ya kazi moja iwapo wametoa kazi tofauti tofauti? Yaani niandike barua ya kuomba kazi A, Kazi B au hadi Z?
Nitashukuru nikipata Majibu.
TPDC wametoa post za kazi, deadline 27 june. Mimi kufika hiyo tarehe nitakua nimeshamaliza chuo (Geologist) so nimependa ni apply nijaribu baht yangu. Ila nina maswali naomba mnisaidie:
-Watakubali provision results yenye matokeo ya semester 5?
-Kuna watu wanasema eti barua za application lazima zitumwe kwa EMS, je ni kweli? Wanadai kwa posta ya kawaida zinaweza kukaa ata mwezi mzima njiani.
-Ni mgeni ktk ku apply kazi, hivi unaruhusiwa kuomba zaidi ya kazi moja iwapo wametoa kazi tofauti tofauti? Yaani niandike barua ya kuomba kazi A, Kazi B au hadi Z?
Nitashukuru nikipata Majibu.