Nyerererist
JF-Expert Member
- Oct 1, 2007
- 438
- 5
Nasema Nikimchomea Zitztoka Cd 15 Zile Za 700mb Au Zaidi
ndio unazidi kunichanganya kabisa,,,mara Cd mara MB zaidi,,anyway achana nalo lets resume to the topic
Nasema Nikimchomea Zitztoka Cd 15 Zile Za 700mb Au Zaidi
mchungaji
yes za omoo kolthoom ninazo lkn sio nyingi kama 4 hivi,kuna moja hiyo unaijua inaitwa ZALAMNA EL-HUUB,ahhh weee acha tu.kwani mchungaji kiarabu kinapanda hapo?
za shakila na bw matona sina mkuu.
ZITAPATIKANA CD 15
Sikonge,All members,
Natafuta nyimbo za hii bendi ya Iringa iitwayo TANCUT ALMASI.
Jamani nazitafuta kwa udi na uvumba ......
1. Sina cha kukupa mama mamaa, bali shukurani mama mama mamaee..
2. Usinisogelee mimi siwezi kupigana na mwanaume wa kwako.
3. Nakulilia Africa, mimi mwana wa Africa ........
Nilizisikia zamani na nikazipenda sana ila bahati mbaya ilikuwa kaseti ya Mwakalinga na ikabidi niirudishe kwake bila kufanya rekodi. Najilaumu kumrudishia.....
Mwenye nazo tuwasiliane.
Vipi chief uliupata huo wimbo wa mshenga katoroka??Nami hapa katika zilipendwa kuna nyimbo nyingi sana nazitamani kumiliki lakin sijafanikiwa kuzipata..Kuna vibao vya Biashara jazz na Bima Lee Orch.
Kuna ule unaitwa Kipini cha dhahabu...( magenge mengine mabaya...ooho mama watoto..watu wanapokusanyikaa...wengine hufaidika...) hayo ni baadhi ya maneno na huu mwingine wa king Makusa..
..Kumbe mshenga katoroka pesa na mali hakupeleka yeyeee ..ooho
..Nilipompa pesa hakuwepo shahidi..nitafanya nini eehe ooho