figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Kuna msanii simkumbuki jina aliimba wambo wa rafael. baadhi ya mistari ninayo kumbuka ni;
"ninamna gani, ni jinsi gani tutawin maishani mpaka siku tunasema buriani, ni jinsi gani yesu wangu.
tulikua tumekaa pale bar rafael akaja akatuangalia machoni akatudharau akaingiza mkono mfukoni akaagiza walete kama tulivyo. mariam alikuwepo, joshua alikuwepo na yule kijana anaye kaa pale kona nani? chua eeh! eti chua nae alikuwepo". hayo ni baadhi ya maneno ninayo yakumbuka. mwenye huo wimbo nauomba. thanx. mia
====
"ninamna gani, ni jinsi gani tutawin maishani mpaka siku tunasema buriani, ni jinsi gani yesu wangu.
tulikua tumekaa pale bar rafael akaja akatuangalia machoni akatudharau akaingiza mkono mfukoni akaagiza walete kama tulivyo. mariam alikuwepo, joshua alikuwepo na yule kijana anaye kaa pale kona nani? chua eeh! eti chua nae alikuwepo". hayo ni baadhi ya maneno ninayo yakumbuka. mwenye huo wimbo nauomba. thanx. mia
====