Siku ukijisikia kunyoosha kizungu unasikiliza zile nyingine!?au?
I wish uzisikilize hizi kila muda.
Huwa unasikiliza gospel tofauti na za RC?
Why 2008 hadi 12?Gospel chache sana nasikiliza, sana sana ni zile za 2008 - 2012. Za sasa ni chache sana.
Why 2008 hadi 12?
Kwanini Sio 2008 kushuka???
Nilitaka nikutumie za sasa.
Za zamani ninazo za miaka hiyo ya 90 enzi hizo wahenga tunakua kua
Haha haha,Miaka hiyo ndiyo gospel zilianza kibiashara bongo: kina Rose Muhando, Bahati Bukuku, Upendo Nkone, Beatrice Muone (huyu aliimba tenzi za rohoni, before 2007), kidogo kulikuwa na kwaya ya Kijitonyama Uinjilist.
Hizo tu, zingine itokee ila hazinipi upako kama hizo.
Haha haha,
Hivi kwanini huwa mnasema gospel singers ni wafanyabiashara!?
Kwani kuna mtu huwa anagawa bure CD ama kazi zake!??
Kijitonyama ninawapenda, kuna ile Kijitonyama upendo group wapo vizuri, mtoni avangelical(wale wa Lulu)
Kilimanjaro revival, barabara ya 13(ulyankulu)
Hizi unazijua!?????
I wish usiwe na nyimbo nyingine tofauti na za gospel.Barabara ya 13 (Ulyankulu) ninasikiliza wimbo wa Samsoni na Delila.
I wish usiwe na nyimbo nyingine tofauti na za gospel.
OkaySidhani, maana hobby ya kusikiliza muziki sina kivile, nasikiliza kutegemea na mood.
Sina selection kamili. Ila gospels ni mpaka niwe na upako siku hiyo.
Hyo hapo, enjoyTeam,
Ule wimbo wa "Rafaeli" naona kuna post inasema uliwekwa humu ila niki search siuoni.
Rafaeli alikuepo,
Ahsante sana bwana mwamba. Aisee JF ni kiboko. Ni zaidi ya SHAZAM.Hyo hapo, enjoy