FirstClass
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,081
- 1,338
Mkuu KIOO nmerudi tenaa..
Nahitaji instruments ya nyimbo hizi..
Please for give me ya P Funk na Dully
Swahili ya Stereo wa Tamaduni Music
Pia kuna wimbo sjui ni Achimenengule Bend ( Sina uhakika na jina la Band ) unaanzaga na maneno haya..
'''Simbaa anangurumaa nchini Tanzaniaaah... Siiiimbaaaa anangurumaa nchin Tanzaniaaaa...*2
Eeeeaaaahhh Aungurumapo simbaaa, acheze nan.........'''
Nahitaji instruments ya nyimbo hizi..
Please for give me ya P Funk na Dully
Swahili ya Stereo wa Tamaduni Music
Pia kuna wimbo sjui ni Achimenengule Bend ( Sina uhakika na jina la Band ) unaanzaga na maneno haya..
'''Simbaa anangurumaa nchini Tanzaniaaah... Siiiimbaaaa anangurumaa nchin Tanzaniaaaa...*2
Eeeeaaaahhh Aungurumapo simbaaa, acheze nan.........'''