1:NAOMBENI NYIMBO HIZI:-
SI ULILETA NYODO - WA DAJOO

2:WAPE VIDONGE WA SUMA G

3:TUMBO DENI LA DUNIA WA USWAHILINI MATOLA

4:JIKO LIMENUNA WA ZIG ZAG CREW

5:HEKAHEKA ZA TEACHER WA G SOLO NA INSPECTOR HAROUN

6:SITAKI DEMU RMX WA J NATURE ILA SIKUMBUKI ALIEMSHIRIKISHA.

NINGESHUKURU SANA KUZIPATA HIZI SABABU NIMESHAZITAFUTA HADI NIMECHOKA.
Mkuu namba 1 na 5 umenikumbusha mbali sana
 


Sikutaka ni-comment chochote zaidi ya kushusha vyuma chakavu tu ila kwa comment yako hii imenifanya ni-comment na nimejikuta nafurahi tu mkuu.



Ngoja nikupe zawadi, waskilize kaka na dada aisee. ENJOY.
Mkuu salaam pls hebu nipm no yako fasta maana umenikosha sana
 
Yap ngoma ni yenyewe mkuu dah bongo bwana huwezi amini video ya hii ngoma alicheza bro wangu kabisaa toka nikutoke akiwa anasoma MUCE lakini video sijahi kuiona
nahic video nilikuwa nayo ngoja nitafukunyua kwenye Library yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom