Natafuta wimbo huu uliopigwa miaka ya 70 ama 80 na bendi ya Tanga International. Nimewahi kuulizia RTD kwenye banda lao la maonyesho pale Mnazi Mmoja mwaka 2009 lakini hawakuwa nayo kati ya nyimbo walizokuwa wanauza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.