GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,464
- 108,620
Kwa Wanasiasa mlio na utayari jikusanyeni na mkikamilika mnitaarifu haraka ili tuanze Kazi na nitakuwa nawaelekezeni kutokea hapa hapa JamiiForums tu na sitohitaji Kuonana nanyi.
Nakipenda sana Chama Cha CCM na Rais Samia ila GENTAMYCINE napenda kuona CCM na Rais Samia 'wakihenyeshwa' 24/7 na Chama Cha Upinzani ili awe makini muda Wote Kiuingozi wake na Watu wa CCM wasibweteke bali nao muda mwingi wawe Wanaumiza Vichwa kuwaletea Maendeleo Wananchi wake.
Tanzania haiwezi kuwa 'imesizi' hivi Kisiasa na haichangamki. Pia nataka tuwe na Chama Cha Upinzani Imara ili hata Polisi na Watu wa Usalama wa Taifa muda wote wawe Wanakasirika tu na Kukinunia kwa 'Spana' za uhakika ili tuweze kumsaidia Rais Samia asijione kuwa ameshazimaliza Changamoto zote za Kijamii, Kiuchumi na za Kimaendeleo za Watanzania.
Nataka nikiunde hiki Chama ili angalau kila Wiki Watendaji wake wake wanaitwa ama kwa Msajili wa Vyama vya Siasa nchini au kwa DCI au pale Central Police Station kwa Mahojiano zadi.
Sharti Kuu la Watu ambao watapenda kuwa tayari niwatengenezee Chama Cha Upinzani Imara na Makini Tanzania nzima ni kuwa naturally Wawe ni Intelligent, wawe Wakweli daima, wasioogopa Kufa na wasiwe Wanafiki na wakubali Kuteseka Kimaisha (Kufa na Tai Shingoni) kwa Maslahi ya Tanzania ya sasa na ile ya Kesho na Keshokutwa.
Nakipenda sana Chama Cha CCM na Rais Samia ila GENTAMYCINE napenda kuona CCM na Rais Samia 'wakihenyeshwa' 24/7 na Chama Cha Upinzani ili awe makini muda Wote Kiuingozi wake na Watu wa CCM wasibweteke bali nao muda mwingi wawe Wanaumiza Vichwa kuwaletea Maendeleo Wananchi wake.
Tanzania haiwezi kuwa 'imesizi' hivi Kisiasa na haichangamki. Pia nataka tuwe na Chama Cha Upinzani Imara ili hata Polisi na Watu wa Usalama wa Taifa muda wote wawe Wanakasirika tu na Kukinunia kwa 'Spana' za uhakika ili tuweze kumsaidia Rais Samia asijione kuwa ameshazimaliza Changamoto zote za Kijamii, Kiuchumi na za Kimaendeleo za Watanzania.
Nataka nikiunde hiki Chama ili angalau kila Wiki Watendaji wake wake wanaitwa ama kwa Msajili wa Vyama vya Siasa nchini au kwa DCI au pale Central Police Station kwa Mahojiano zadi.
Sharti Kuu la Watu ambao watapenda kuwa tayari niwatengenezee Chama Cha Upinzani Imara na Makini Tanzania nzima ni kuwa naturally Wawe ni Intelligent, wawe Wakweli daima, wasioogopa Kufa na wasiwe Wanafiki na wakubali Kuteseka Kimaisha (Kufa na Tai Shingoni) kwa Maslahi ya Tanzania ya sasa na ile ya Kesho na Keshokutwa.