Mrekebishaji
Senior Member
- Mar 19, 2009
- 168
- 63
Mimi ni Mtanzania nipo hapa London kwa vikao, nimefika tarehe 10 June na nitaondoka tarehe 19 June kurejea Tanzania. wakati wa w'end tarehe 14 na 15 June nitakuwa free, nitapenda kukutana na watanzania wanaoishi hapa London kwa ajili ya kubasilishana mawazo zaidi, hususani ya fursa zilizopo Tanzania na zile zilizopo hapa. Kikubwa ni tuzungumze namna ya kubadilishana uzoefu katika biashara.
kwa mawasiliano nitumie ni pm, na pia mimi nipo hotel ya Imperial, eneo la Russel square.
Karibuni na tupange mipango ya kusaidia nchi yetu na dunia
kwa mawasiliano nitumie ni pm, na pia mimi nipo hotel ya Imperial, eneo la Russel square.
Karibuni na tupange mipango ya kusaidia nchi yetu na dunia