Natafuta wasichana wawili na Kijana wa kiume mmoja

Sitachoka

JF-Expert Member
Nov 17, 2011
3,030
1,303
Tarehe moja mwezi ujao nafungua grocery na jiko la chakula hivyo nahitaji watu hao tufanye nao kazi,

>Sifa wawe wanajukusoma na kuandika hasa hesabu.
>Wawe wachapakazi na wachangamfu
>Kwa wasichana wawe wazuri na wenye kuvutia
>Kwa kijana wa kiume awe anajua kutengeneza kitimoto, kuchoma kuku, kupika chips

Eneo la kazi ni Dodoma

Kwa wenye uhitaji na kazi tuwasiliane mapema maana nafasi ni hizo tatu

Namba 0716863406.
 
Tarehe moja mwezi ujao nafungua grocery na jiko la chakula hivyo nahitaji watu hao tufanye nao kazi,

>Sifa wawe wanajukusoma na kuandika hasa hesabu.
>Wawe wachapakazi na wachangamfu
>Kwa wasichana wawe wazuri na wenye kuvutia
>Kwa kijana wa kiume awe anajua kutengeneza kitimoto, kuchoma kuku, kupika chips

Eneo la kazi ni Dodoma

Kwa wenye uhitaji na kazi tuwasiliane mapema maana nafasi ni hizo tatu

Namba 0716863406.
wasipokuwa na makalio utakunywa bia zako peke yako isee
 
Back
Top Bottom