ROKY
Senior Member
- May 4, 2011
- 182
- 70
Hi wana JF wote,
Natafuta watu wa kununua kuni za jumla.
Nina shamba jipya nalisafisha, hivyo kuna miti mingi sana kwa ajili ya kuni.
Eneo lilipo shamba hilo ni mkoa wa Pwani, umbali wa kilometa 100 toka DSM.
Bei ya kuni ni maelewano tu na wanunuzi.
Wana JF naomba mnipe contacts za wanunuzi watakaonunua kuni hizo kwa jumla.
Thanks in advance.
Natafuta watu wa kununua kuni za jumla.
Nina shamba jipya nalisafisha, hivyo kuna miti mingi sana kwa ajili ya kuni.
Eneo lilipo shamba hilo ni mkoa wa Pwani, umbali wa kilometa 100 toka DSM.
Bei ya kuni ni maelewano tu na wanunuzi.
Wana JF naomba mnipe contacts za wanunuzi watakaonunua kuni hizo kwa jumla.
Thanks in advance.