Shin Lim JF-Expert Member Mar 27, 2012 7,004 12,473 Jul 17, 2016 #2 Ama kweli hesabu ni uhai. Yaani mtu kakosea sehemu zote, hadi heading! Lakini lilipokuja swala la hesabu wee! Mule mule!
Ama kweli hesabu ni uhai. Yaani mtu kakosea sehemu zote, hadi heading! Lakini lilipokuja swala la hesabu wee! Mule mule!
vollies JF-Expert Member May 31, 2015 748 446 Jul 17, 2016 Thread starter #6 Elimu ya watu wazima inahitajika tafadhali Baba Jesc
kichomiz JF-Expert Member Feb 28, 2011 19,011 11,942 Jul 17, 2016 #7 afrodenzi said: Kweli tunahitaji Elimu. Click to expand... Cha ajabu mpaka sasa hatujui itapatikanaje
afrodenzi said: Kweli tunahitaji Elimu. Click to expand... Cha ajabu mpaka sasa hatujui itapatikanaje
Wapoti JF-Expert Member Aug 28, 2013 2,824 1,095 Jul 17, 2016 #9 Huyo no msingida tuuu undo wanapenda kazi hizo
maulana majaliwa JF-Expert Member Jun 3, 2016 261 140 Jul 17, 2016 #10 vollies said: View attachment 366864 Click to expand... Weita mkurya
D Developer JF-Expert Member Jan 8, 2011 446 503 Jul 17, 2016 #11 Mbona hamna shida hapo, mambo safi tu, hayo maandishi hayabadilishi efficiency kwenye kazi..
MNYAMAKAZI JF-Expert Member Oct 7, 2014 2,118 2,193 Jul 17, 2016 #12 Wankumbusha zamani mzee wangu alikuwa hataki shamba boy anauyejua kusoma na kuandika. Na kweli it was working, vilaza hawakuwa na longo longo
Wankumbusha zamani mzee wangu alikuwa hataki shamba boy anauyejua kusoma na kuandika. Na kweli it was working, vilaza hawakuwa na longo longo
Kambaku JF-Expert Member Nov 12, 2011 7,145 26,703 Jul 17, 2016 #13 Anafaa sana huyo, mathematics imenyooka inatosha, hayo mengine mbwembwe tu, kwani ye mwandishi wa habari?
Anafaa sana huyo, mathematics imenyooka inatosha, hayo mengine mbwembwe tu, kwani ye mwandishi wa habari?