Wissman JF-Expert Member Dec 12, 2014 1,011 1,279 Sep 27, 2018 #21 Fanya muziki wa taratibu, na unaolenga maisha ya watu na nguvu ya Mungu kwenye maisha yao. Muziku wa kelele na staili hiyo ni wa miaka 10 nyumaa
Fanya muziki wa taratibu, na unaolenga maisha ya watu na nguvu ya Mungu kwenye maisha yao. Muziku wa kelele na staili hiyo ni wa miaka 10 nyumaa
farazuu JF-Expert Member Mar 28, 2018 365 451 Sep 27, 2018 #22 Bongo flava wanafanyaje?Toa single moja moja tafuta matamasha mengi acheni kupenda mteremko..
Madam Lucky Member Sep 22, 2018 44 36 Sep 28, 2018 Thread starter #23 walitola said: Usikate tamaa piga moyo konde mungu yupo pamoja nawe kutangaza injili ya bwana si kazi raisi pambana tu ipo siku Click to expand... Ni kwel, ubarikiwe sana
walitola said: Usikate tamaa piga moyo konde mungu yupo pamoja nawe kutangaza injili ya bwana si kazi raisi pambana tu ipo siku Click to expand... Ni kwel, ubarikiwe sana