Madam Lucky
Member
- Sep 22, 2018
- 44
- 36
hallow, wapendwa kama nilivyojitambulisha majina yangu pamoja na Kazi yangu, Nina changamoto ya mdhamini wa Kazi yangu ya uimbaji, maana Nina mashairi ya kutosha, natumain nikimpata mdhamini nitafanya Kazi hii kama sins Akili nzuri.
Ninakuomba kama Upo tayar nisaidie lakin pia naomba usambaze taarifa hii ili nimpate mdhamini. Na Mungu atakubariki sana.
Ninakuomba kama Upo tayar nisaidie lakin pia naomba usambaze taarifa hii ili nimpate mdhamini. Na Mungu atakubariki sana.